paulsifa
Member
- Jun 14, 2008
- 21
- 2
Mmhh jamani nami natamani, na zile fanta za bongo ni the best, sijui sababu lkn siwahi kunywa fanta tamu kama za tz. Makuku ya huku , yaani unakula tuu lkn ladha hayana kama wale wa kienyeji wa tz
ndugu yangu hayo unayosema ya kweli kabisa,sijui Fanta ya kwetu ina nini cha ziada lkn ni tofauti kabisa na za huku....