Home Boy wangu Ali Kiba na matangazo clouds

Home Boy wangu Ali Kiba na matangazo clouds

Wewe wimbo wako uko ni upi?

Wimbo wangu ni uwezo wa kujua mziki mbaya na mzuri kwa vigezo vyangu. Nikisikiliza wimbo wake "dushelele" naurudia mara kumi kumi. Ni mzuri kuanzia mashairi, melody, sauti kila kitu. Hii cheketua ni makelele tu.

Kama umeupenda upende tu, hatuwezi kuupenda wote na ndo maana promo ni kubwa ili kutushawishi kuupenda na mafanikio hayawezi kuwa 100%.
 
Aaah kumbe zamani sana sasa Mimi na wenzangu ndio tumelickia kwake

Kupiga matangazo ya show za chekecha cheketour ndio ww unachoka
Unaijua biashara ww?

nishaelewa tatizo ni generation gap. Hivyo tukubaliane kutokubaliana. Mi zangu Solemba na Kalubandika.
 
Lengo la clouds sio kumkandamiza bali wanamuandalia ali kiba mazingira mazuri ya kufika levo za juu kimataifa ndio maana wanamtangaza sana ili afanye poa kama diamond
 
Promo nyingine bwana, hata hao wapiga promo hawaoni aibu? Wimbo wa kawaida but promo lake si mchezo
 
kikweli kiba mashabiki wake wanahitaji pongezi za ziada, kama ni kumbeba mmembeba jamani chaaa!! lakini ndio hivyo kiba kawa kama gunia la misumari.

huu wimbo wake mpya wanaouelewa ni mashabiki zake tuu, na kiuhalisia si kuwa kweli wanaupenda ila ndio hivyo wanavumilia kuupenda wanaanzaje kumsaliti king wao??

kaazi kweli kweli
 
ni wimbo mdogo sana ukilinganisha na ukubwa wa jina la msanii husika na ukubwa wa promo. Umebebwa na chekecha cheketua ambayo nayo imeingia kama kibwagizo ghafla sana na hakina chembe ya ubunifu.

hili ndio kosa kubwa wanalolifanya team nzima na uongozi wa kiba, ya kutaka kuigaiga mambo, kwa vile dai anafanyiwa sana promo na wao wanaiga,

TOFAUTISHENI HILI NDUGU ZANGUNI promo za dai zinaleta effect katika kazi zake kwa sababu zinaendana na package ya kazi, kazi kubwa, promo kubwa, mafanikio makubwa.

lakini kiba kazi ndogo promo kuuuuuuuuuuuuuuuuuuubwaaaaaaa!! mafanikio NUKTA. KUWENI WABUNIFUU, oohoooo!! MTABAKI HAPO
 
Ali kibba wacha atumike ili amfikie daimond

atatumika na daimond hamfikiii ng'ooooooo!! yani namaanisha ng'oooooooooooo!! mpaka siku atakayotambua kuwa kutangulia sio kufika, na kipaji hata kuku anacho cha msingi ni kujua jinsi ya kukitumia. atachekechetua sanaaa lakini ataishia round about
 
nimewahi kusikia tena zamani sana na hiyo rythm ni common sana, hakuna jipya kwenye hiyo chekecha cheketua. Ok, watu wanachukuaga vitu ambavyo tayari vipo kama alivyokuwa akifanya Mr. Nice ila ubunifu wake ulifanya nyimbo kuonekana nzuri. Kwa ufupi, kwa mtazamo wangu, huu wimbo wa ali kiba wa chekecha cheketua ni mdogo sana.

Ingekuwa zile enzi za santuri na kanda ningesema unafaa kujaziliza nafasi iliyobaki lakini si wa kututoa mapangoni. Na yumkini ndio maana matangazo yamekuwa mengi kila sasa kila saa mpaka nimechoka. Kizuri kinajiuza bhana. Chekechaaaa cheketua...hiyo tu? bado sana.

mwenyewe nilivyousikia tu, i was like what?? so this is the product of so called KING??? bora mwana mara mia 8, lakini sasa unavotangazwa over kampeni ya kitaifa ya chanjo ya watoto ya pepopunda utajua tu kuna kasoro mahali, kiba ndio msanii anaepigiwa promo kwa kutumia nguvu nyingi kuliko msanii yoyote Tanzania kwa sasa, lakini kabumaaaa.

USHAURI WANGU KWA TEAM KIBA NA UONGOZI WAO, WAACHE KUMPA KIBA SIFA AMBAZO HANA, ACHENI KUMDANGANYA ETI YEYE NI MKALI WAO(hapa ndipo mnapompotosha) WAMKALISHE CHINI WAMPANGE UPYA WAMPIKE UPYAAA KABISAAA, NA KWA VILE ANAKIPAJI WALA HAWAHITAJI MOTO MKALI SANA KIBA ATAIVA.

LAKINI MKIENDELEA KUMSIFIA KIBA KWA KUTUMIA HISTORIA BADALA YA SCIENCE. MTABAKI HAPO
 
hivi unajua mkuu wasanii wengine hata hizo nguo, wanakodisha...? na magari pia?

Aaaaaaaaaagh Kabanga Acha Masihara! Zile Nguo Na Gari Zile Kuu Kuu Kumbe Nazo Huwa Wanagongea? Kweli Hatuna Wasanii Tanzania.
 
Ubunifu ni nini ?

Before uliwahi Kuckia maneno "chekecha cheketua" ?

Yap wewe ndio unayasikia kwa Kiba,kuna nyimbo ya kingoni wanaimba hayo maneno nafikiri ameimba Adelgot Haule
 
mwenyewe nilivyousikia tu, i was like what?? so this is the product of so called KING???

bora mwana mara mia 8, lakini sasa unavotangazwa over kampeni ya kitaifa ya chanjo ya watoto ya pepopunda utajua tu kuna kasoro mahali, kiba ndio msanii anaepigiwa promo kwa kutumia nguvu nyingi kuliko msanii yoyote Tanzania kwa sasa, lakini kabumaaaa.

USHAURI WANGU KWA TEAM KIBA NA UONGOZI WAO, WAACHE KUMPA KIBA SIFA AMBAZO HANA, ACHENI KUMDANGANYA ETI YEYE NI MKALI WAO(hapa ndipo mnapompotosha) WAMKALISHE CHINI WAMPANGE UPYA WAMPIKE UPYAAA KABISAAA, NA KWA VILE ANAKIPAJI WALA HAWAHITAJI MOTO MKALI SANA KIBA ATAIVA.

LAKINI MKIENDELEA KUMSIFIA KIBA KWA KUTUMIA HISTORIA BADALA YA SCIENCE. MTABAKI HAPO

That's too much PAULA! Una roho mbaya na chuki kali isiyo mfano. Nakumbuka mwaka jana Ali Kiba alivyotoa wimbo wake wa Mwana uliuponda kwa nguvu zako zote, tena tulipambana kwelikweli almanusra tupigwe ban basi tu tukaamua kufunika kombe mwanaharamu apite. Leo hii bila aibu unasema bora Mwana mara mia 8! Leo hii ndio umeona ubora wa wimbo wa Mwana?
Haya tuyaache hayo yashakua historia sasa.

Unaweza kuniambia Kiba kabuma kivipi? Wakati mwingine ni bora kufikiri kwanza kabla ya kusema na kuiweka 'mihemko' yako pembeni kuliko kuongea hizi pumba ulizoandika hapa.

Binafsi nikiona Diamond kafanya vizuri hua nakaa kimya kuliko kuongea upumbavu kisa tu sio shabiki wake. Unasema tusimpe Kiba 'sifa' ambazo hana...well, sifa zipi? Ni hii ya kipaji chake (sauti) ambayo hata Diamond anakiri kua angekua nayo angefanya makubwa zaidi?Au ni sifa zipi unazomaanisha?

Ongea kwa kutumia facts as a great thinker na sio blah blah.
 
That's too much PAULA! Una roho mbaya na chuki kali isiyo mfano. Nakumbuka mwaka jana Ali Kiba alivyotoa wimbo wake wa Mwana uliuponda kwa nguvu zako zote, tena tulipambana kwelikweli almanusra tupigwe ban basi tu tukaamua kufunika kombe mwanaharamu apite.Leo hii bila aibu unasema bora Mwana mara mia 8! Leo hii ndio umeona ubora wa wimbo wa Mwana?

Haya tuyaache hayo yashakua historia sasa. Unaweza kuniambia Kiba kabuma kivipi? Wakati mwingine ni bora kufikiri kwanza kabla ya kusema na kuiweka 'mihemko' yako pembeni kuliko kuongea hizi pumba ulizoandika hapa. Binafsi nikiona Diamond kafanya vizuri hua nakaa kimya kuliko kuongea upumbavu kisa tu sio shabiki wake.

Unasema tusimpe Kiba 'sifa' ambazo hana...well, sifa zipi? Ni hii ya kipaji chake (sauti) ambayo hata Diamond anakiri kua angekua nayo angefanya makubwa zaidi?Au ni sifa zipi unazomaanisha?

Ongea kwa kutumia facts as a great thinker na sio blah blah.

okey nifah u said yours, ngoja niseme yangu wala usidhubutu kuongelea swala la chuki na roho mbaya coz team kiba are the qualified, diamond did alot to be appreciated, am talking about tangible things but u had never aknowledge zaidi ya kumponda tuuuuu, nyie mnaomponda dai kuwa sio lolote sio chochote kila jina baya mnampa kwenu hiyo ni sawa?? hiyo sio chuki??

japo kiuhalisia diamond anafanya vizuri lakini team kiba mmekuwa mkimponda tuu no matter how best he tried, hiyo sio chuki na roho mbaya??? sasa turudi kwa kiba, kiba ninamponda coz ni kweli hajafanya vizuri as your claiming, his perfomance is going down ward instead, nikiongelea wimbo wa mwana kuwa bora kuliko cheketua at his level YESSSSSSSSS!! mwana is boura kuliko chekechua,

huko nyuma huko uliporefer ni kweli niliuponda mwana nikiucompare na nyimbo za dai sasa nimeukopea na wimbo wake mwenyeweee cheketua, what i was expecting from kiba baada ya kuitoa mwana akiwa amepanic kwa nia ya kuja kumfuta dai kwenye ramani ya mziki as for which hakufanikiwa, angetulia atoe kitu ambacho kingekuwa like WOOOOW!!!

this is truly a KING, but with this cheketua of yours!!??? its like OMG!!! what the hell is this??? najua inakuwa ngumu kumeza lakini ukweli ndio huo! am soleeee anyway!!!!!!
 
okey nifah u said yours, ngoja niseme yangu wala usidhubutu kuongelea swala la chuki na roho mbaya coz team kiba are the qualified, diamond did alot to be appreciated, am talking about tangible things but u had never aknowledge zaidi ya kumponda tuuuuu, nyie mnaomponda dai kuwa sio lolote sio chochote kila jina baya mnampa kwenu hiyo ni sawa??

hiyo sio chuki?? japo kiuhalisia diamond anafanya vizuri lakini team kiba mmekuwa mkimponda tuu no matter how best he tried, hiyo sio chuki na roho mbaya??? sasa turudi kwa kiba, kiba ninamponda coz ni kweli hajafanya vizuri as your claiming, his perfomance is going down ward instead, nikiongelea wimbo wa mwana kuwa bora kuliko cheketua at his level YESSSSSSSSS!! mwana is boura kuliko chekechua,

huko nyuma huko uliporefer ni kweli niliuponda mwana nikiucompare na nyimbo za dai sasa nimeukopea na wimbo wake mwenyeweee cheketua, what i was expecting from kiba baada ya kuitoa mwana akiwa amepanic kwa nia ya kuja kumfuta dai kwenye ramani ya mziki as for which hakufanikiwa, angetulia atoe kitu ambacho kingekuwa like WOOOOW!!! this is truly a KING, but with this cheketua of yours!!??? its like OMG!!! what the hell is this??? najua inakuwa ngumu kumeza lakini ukweli ndio huo! am soleeee anyway!!!!!!

kwani kucheketua ndo nini?
 
okey nifah u said yours, ngoja niseme yangu wala usidhubutu kuongelea swala la chuki na roho mbaya coz team kiba are the qualified, diamond did alot to be appreciated, am talking about tangible things but u had never aknowledge zaidi ya kumponda tuuuuu,

nyie mnaomponda dai kuwa sio lolote sio chochote kila jina baya mnampa kwenu hiyo ni sawa?? hiyo sio chuki?? japo kiuhalisia diamond anafanya vizuri lakini team kiba mmekuwa mkimponda tuu no matter how best he tried, hiyo sio chuki na roho mbaya??? sasa turudi kwa kiba, kiba ninamponda coz ni kweli hajafanya vizuri as your claiming,

his perfomance is going down ward instead, nikiongelea wimbo wa mwana kuwa bora kuliko cheketua at his level YESSSSSSSSS!! mwana is boura kuliko chekechua, huko nyuma huko uliporefer ni kweli niliuponda mwana nikiucompare na nyimbo za dai sasa nimeukopea na wimbo wake mwenyeweee cheketua,

what i was expecting from kiba baada ya kuitoa mwana akiwa amepanic kwa nia ya kuja kumfuta dai kwenye ramani ya mziki as for which hakufanikiwa, angetulia atoe kitu ambacho kingekuwa like WOOOOW!!! this is truly a KING, but with this cheketua of yours!!??? its like OMG!!! what the hell is this??? najua inakuwa ngumu kumeza lakini ukweli ndio huo! am soleeee anyway!!!!!!

Sorry for what? Tulia wewe, naona ushaanza papara zako kama kawaida. Leo ni mimi na wewe tu achana na mambo ya team Kiba au Diamond.Kwani mimi nimeongelea team au wewe Paula kama Paula? Naongelea chuki na roho yako mbaya.

Nimeshakuambia kua binafsi nikiona Diamond kafanya poa hua nakaa zangu kimya kuliko kujitia aibu kwa kuongea pumba kama zako.
Anyways, unasema wimbo wa Mwana Kiba alikurupuka, are you serious? Wimbo wa Mwana ni wimbo mkali sana.Ukibisha bisha tu.Haya turudi kwenye cheketua. ..ni wimbo mzuri pia ila unatofautiana na Mwana kimaudhui.

Ulitegemea Kiba atoe wimbo mwingine wa kulalamika/kuonya kama Mwana? Kwa staili hiyo si tungemchoka?C'mon Paula, Kiba kaamua kutufundisha (Mwana) na sasa tunaserebuka na Chekecha cheketua...

Hivi unaweza kuniambia kua wimbo wa Diamond Ukimuona ni sawa na Nitampata wapi? Huoni kama Nitampata wapi alikurupuka tu ila akabebwa na video nzuri? (Hapo kwenye nzuri sidhani kama utaweza kuappreciate chochote afanyacho kiba kama mimi.Wewe kila kitu kwako ni kibaya).
 
Hapo sasa.

Kuna some person yamempanda kichwani no wonder anahorojoka tu. Eti kiuhalisia hatuipendi cheketua ila tunavumilia kuupenda.......yaani nimecheka cheko la dharau kiasi kwamba angeniona/kusikia angetapika kamasi!!

Huyo ndo Kiba mamaaa full of suprises.......yaani kivingineeee! nifah karibu mahindi ya kuchoma na juice ya ndulele tuendelee kudumisha afya ya akili.
 
Last edited by a moderator:
Kuna some person yamempanda kichwani no wonder anahorojoka tu. Eti kiuhalisia hatuipendi cheketua ila tunavumilia kuupenda.......yaani nimecheka cheko la dharau kiasi kwamba angeniona/kusikia angetapika kamasi!!

Huyo ndo Kiba mamaaa full of suprises.......yaani kivingineeee! nifah karibu mahindi ya kuchoma na juice ya ndulele tuendelee kudumisha afya ya akili.

Hahahaaa Uwiiiiii jamani Avemaria nimechekaje?
Sometimes tuwasamehe tu watu wa design hii.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom