Hoja ya Zitto sio ya CHADEMA

Utasemaje hoja ya Zitto sio ya CHADEMA wakati Zitto mwenyewe ni CHADEMA. Kwenye hili hata Lusinde anakuzidi

Nikuulize swali?

Hoja ya kupinga na hatimae kugomea posho ya kukaa kitako kwa vitendo bungeni ilikua na ni ya nani na imetekelezwa kwa vitendo na kina nani?

Pili hoja ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema iliyotolewa na zitto ni ya chadema au yake?

acheni kujifanya leo ndio mna mapenzi na zitto kupita kiasi wakati amekua akitengwa na kupambana mwenyewe,kila siku tunawaambia zitto ni mwanasiasa anaejua kufanya siasa kuliko hao waliojivika vyeo vya uongozi wa upinzani bungeni kumbe ni uongozi wa kula posho za kukaa tu bungeni
 
Zitto is an independent organ ndani ya CDM! Ana msimamo na anajua anachokifanya. Yupo tofauti kabisa kimaamuzi na wabunge wengine wa CDM. Ndio maana hata njaa za vihela vya posho hana!!

Na kwa kuongezea ndio mana yeye hajawahi katika maisha yake kudai hamtambui rais na kutoka bungeni kwa sababu hiyo,kuna watu wanajisahaulisha mambo kwa makusudi humu,sisi tupo kwa ajili yao,tutawakumbusha tu
 

Lusinde at work
 

umakini wake muwe mnautambua na akitaka kugombea uenyekiti wa chadema au urais kwa tiketi ya chadema,maana wakati huo ukifika huwa mnamwita majina mabaya tu
 
Na kwa kuongezea ndio mana yeye hajawahi katika maisha yake kudai hamtambui rais na kutoka bungeni kwa sababu hiyo,kuna watu wanajisahaulisha mambo kwa makusudi humu,sisi tupo kwa ajili yao,tutawakumbusha tu

Lusinde at work
 

kwani cdm ina wabunge wangapi jumla?
 
Tarehe za mwisho hizi, you might not be feeling well, I know, I know it.:A S angry:

acha zako kaka ucpende uchama ktk maslah ya taifa sasa kisa wametoka CUF ndio wasisuppprt.tupende CDM ila penye maslah ya taifa watanzania wote ni wamoja.
 
Kwa upeo wa KIMKARDASH CDM siyo watu. He doesn't understand that Zitto is part of the team ndani ya CDM
Sio mamluki wa ccm ndani ya cdm leo?????????misimamo hii inendelee na wakati wa kuchukua fomu a kugombea urais kwa tiketi ya chadema,wakati ukifika tutawakumbusha kwa kuwaquote ili mkose pa kutokea,tumeambua kupambana na unafiki humu ndani mpaka tuukomeshe kabisa
 

Nataka kuwaaminisha kwamba kusema mbali na kutenda mbali,huwa kila wakati navuiwa na pipo who can get things done not just talk about,sipendi wasemaji kupita kiasi,pengine hapo ndipo tunapotofautiana,i'm sorry...!
 
Nimesoma zaidi ya x3 lakini sijafahamu lengo lako. Funguka Mkuu!

kama huelewi haraka si lazima uchangie,unaweza kushiriki kwa njia ya kusoma tu,wala haitaathiri membership yako humu.
 
Njaa yako inakudhalilisha shangazi, hoja ya msingi ni kuwaadabisha wanaokula mali ya umma. swala la popularity ya CDM halina utata hata kidogo hata waliokutuma wanalifamahu hilo. so save your time baby.

umaarufu wao umewasidia kupata viti vingapi bungeni toka chama kimeanzishwa mpaka leo?jibu hili kwanza,na usuchanganye umaarufu wa cdm humu jf ukachukulia ndio kigezo,utapotea mbaya
 
Tusubiri j3 sijui kitaachoamauliwa kitakuwa ni Hoja ya J.M.Kikwete au ni hoja ya M.K. PInda au ni hojo ya CCM? Ebu saidia ufafanuzi.
mbona unajichanganya,unashauri tusubiri j3 halafu hapohapo unasahau kama umeshauri hivyo una unaomba ufafanuzi leo leo na sio kusubiri j3 tena
 

wala sina lengo hilo ingekua hivyo nisingethubutu kuweka thread hapa ya kusahauri chadema na cuf viungane lakini nyie mnaonizomea leo ndio mlikuwa wa kwanza kupinga ushauri wangu,ndio mana nawaita nyie ni wanafiki na ndio maadui wakubwa wa upinzani tanzania,iweje mpinge hoja ya kuviunganisha cuf na chadema mwanzo leo ndio muwe vinara wa kusema mimi ndio mwenye lengo la kuwagawa,mnajigawa wenyewe kwa ubinafsi wenu wa kugombea cheo cha "chama kikuu cha upinzani tanzania" huo ndio ukweli
 
waeshimiwa namuunga mkono ndugu njangula.kwanza ni faida ya watanzania na hata wana ccm walijue japo wao ni wachache walio kwenye ngazi za juu wapo ndugu na jamaa zao wanao umia kwa wizi si tuu wa ngazi fulani bali hata wa waziwazi utendekao na kufichuliwa na kutotendwa chochote eidha na serekali hata bunge lenyewe kwa kuwa wengi ni wale wa upande wa wengi waficha wezi,ni kweli suala hili linaitaji elimu toka uraini kwa raia kujua ni maana ya kuwa na upinzani angalau uiano sawa na chama tawala.chengine ni janja ya lugha ya katiba,kwani kilichombwa ni kura 70% au kura 70.pambaneni wenye dhamana!
 
KAMA KWA ALIESEMA KWA KUHUSU MUUNGANO WA CUF NA CHADEMA.ingeongeza man power au vipi bro!tuburuzwe mitaani na wabunge wetu pia kwa dhana ya wengi wape?kama ni nje ya uchu wa madaraka na kuweka uzalendo wa kumuokoa raia mbumbu mbona kawaida tuu,ila wawe wasafi wasiichafuwe peoples.ingepatikana nguvu kazi 2015,kuliko wanao geuza siasa mradi wa kufukuzia mgao wa ruzuku huku ni kodi ya raia inayozidi kuteketea na kupunguza nguvu ya kupambana na jeuri ya wanye wanachama wapitishao ya kuwanyonya raia kwa kura za ndiooo,kwa kumdhamini mwizi wa raia bungeni.inatakiwa nguvu kazi ya umoja kumvika paka kengele!
 

................Pumba tupu hizi. Mwishoni utasema kuwa aliyeshinda uchaguzi wa Arumeru ni Nassari siyo CHADEMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…