Hoja ya Zitto sio ya CHADEMA

unasahau kuna sahihi ya mrema na wana cuf wale mnaosemaga wameolewa na ccm hapo,msipende cheap poularity nyie,na hapo mngependa aanzishe mwingine huko cdm sio zitto maana kiukweli hamnaga mapenzi nae,hapa mnajichekesha kwake kinafiki tu
attachment.php
 
Falsafa ya chadema inasema "CHADEMA inaamini katika siasa ambazo ziko juu ya vyama zenye kusimamia zaidi maslahi ya Taifa"
 
55;mh Hamad Rashid mohamed CUF,64;mhe Hamad Rashid Mohamed CUF. Aanzishe Zitto aanzishe Lissu tunajua CDM ni chama cha mashujaa. Crdts za CDM haziji kwasababu ya usajili wake coz hata CUF kimesajiliwa bali crdts za CDM zinaletwa na makamanda wake Zitto akiwemo. Zitto anapigania maslahi ya taifa,na kwakupigania maslah ya taifa anapigania maslah yake na ya chama chake kwan maslah ya taifa ndio masalah ya CDM. Japo alieanzisha anastahili sifa lakin hoja ya nani kaanzisha si ya msingi sana msingi ni pale wabunge walipoona mantiki ya kitendo chake na wakawa tayar kumuunga mkono. Propaganda za namna hii hazituhamishi kwe mantiki tena kama mlivyozoea. Watanzania sio wepesi tena kama viongoz wengi wa CCM walivyozoea. Kwaufup watanzania wako mbele kuliko CCM ndo mana kila mahali inaachwa nyuma.
 
Zitto is an independent organ ndani ya CDM! Ana msimamo na anajua anachokifanya. Yupo tofauti kabisa kimaamuzi na wabunge wengine wa CDM. Ndio maana hata njaa za vihela vya posho hana!!

Ningekunya peupeee endapo nicngeiona coment yako kwenye hii thread... Gamba halifichiki: Wapi J Makamba,Kilango,Shelukindo, Six?!????????! wanafiki wooote.. Na hoja aliyoitoa ZTO ni kuhitimisha kile Lissu alisema saa 5:45 asubuhi siku ile..
Chezea Lissu wee..
 
Hivi sisiemu walipoiba hoja ya katiba mpya pia ulitufahamisha? hebu nikumbushe kidogo, au wakati huo hukuwepo nchini!

Jifunze siasa wewe mkuu,
sisim kuanzisha ile hoja ilikuwa ngumu kidogo ila walitaka waropokaji waanze kisha wao waisimamie, huoni sasa sisim ndio wasimaiaji wa kuu wa mchakato?
 
umesahau kuwa aliyeanzisha mjadala wa kumpigia pinda no confidence ni lissu bungeni kabla zitto kuiendeleza,kwani zitto anatoka chama gani?roho inakuuma,unatamani kujiunga cdm ila unaona aibu kula mitapishi yako!

Kwa kuongezea mie nimehesabu na kukuta katika hao 71 wabunge toka CHADEMA ni 40 sasa sijui alitaka ushahidi uweje ili aamini kwamba CHADEMA ndiyo yenye uchungu na wananchi wa Tz. Lakini nipende kuwapongeza wajumbe toka NCCR-Mageuzi, TLP na CUF kwani wameungana na waanzisha kupambana na ufisadi nchini. Yawezekana kabisa hao watuhumiwa siyo mafilauni kwa kiasi hicho lakini usimamizi mbovu katika maeneo yao inatosha kabisa kuwaondoa kwa nanma yoyote ile.
 
Kwa kuongezea mie nimehesabu na kukuta katika hao 71 wabunge toka CHADEMA ni 40 sasa sijui alitaka ushahidi uweje ili aamini kwamba CHADEMA ndiyo yenye uchungu na wananchi wa Tz. Lakini nipende kuwapongeza wajumbe toka NCCR-Mageuzi, TLP na CUF kwani wameungana na waanzisha kupambana na ufisadi nchini. Yawezekana kabisa hao watuhumiwa siyo mafilauni kwa kiasi hicho lakini usimamizi mbovu katika maeneo yao inatosha kabisa kuwaondoa kwa nanma yoyote ile.

Mkuu hao kwenye
red; ni unafiki tu umewajaa! Mtuhumiwa namba moja kwenye hii scandal ni mumewe halafu leo wajidai kupingana naye? Wanafiki na mamluki tu hao. Ikishindikana Bungeni nguvu ya umma itafanya kazi; msiwaamini kabisa hao na unafiki wao.

Mara mia mbunge wa CCM mwenye nia njema kama Filikunjombe na Mzee Lugora kuliko mbunge wa CUF hasa kutoka Visiwani; ni wanafiki ajabu.
 
mnahaha sana safari hii ila mwisho wa siku tutajua nani chama chake cha wapiga porojo na chama kipi ni mtendaji pale bungeni.
Endeleeni kuwa na roho ngumu kama Farao sisi tutawatandika mapigo kumi ya hatari ndo mtasidiki.
 
Tusubiri j3 sijui kitaachoamauliwa kitakuwa ni Hoja ya J.M.Kikwete au ni hoja ya M.K. PInda au ni hojo ya CCM? Ebu saidia ufafanuzi.
 
imekuelewa vizuri mtoa mada!Lakini kwa muundo wa siasa za Tanzania ulivyo kwamba kila mgombea ubunge lazima awe ni mwanachama wa chama fulani na wengi wanaendeshwa na sera za vyama vyao itakuwa ni ngumu sana kumshawishi mtazania atofautishe Zitto Kabwe na CDM unless tulianzishe upya kuhusu mgombea binafsi!!
 
unasahau kuna sahihi ya mrema na wana cuf wale mnaosemaga wameolewa na ccm hapo,msipende cheap poularity nyie,na hapo mngependa aanzishe mwingine huko cdm sio zitto maana kiukweli hamnaga mapenzi nae,hapa mnajichekesha kwake kinafiki tu
Tambwe Hiza, aliyepaswa kutoa hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ni mtoa hoja wakati akihitimisha hoja yake. CDM wana mwenyekiti mmoja tu wa kamati ya kudumu. Sasa huyo mwingine uliyetaka wewe atoe hoja angekuwa nani? Cheyo, Mrema ama nani? Acha kukurupuka bwana Hiza.
 
Ningependa kuweka sawa hili,kumekuwepo na upotoshaji wa makusudi wa genge la watu wa chama kimoja cha siasa kutaka kuteka ama kudandia hili suala la waheshimiwa wabunge wa bunge letu kutaka kuwasilisha hoja ya kuibana serikali na kulifanya ni lao kwa maana la iko chama chao kitu ambacho si kweli.Sababu za genge hilo kifanya hivyo kwanza ni kuupotosha umma na kuondoa umuhimu na unyeti wa suala lenyewe lakini pili ni kujaribu kukipatia chama iko cheap popularity na kukifanya kionekane ndio kaka mkuu mwenye uchungu zaidi na nchi hii kitu ambacho si kweli kwani wabunge wa chama iko ukimuacha MH.ZITTO bado wameendelea kutubebesha mzigo mkubwa walipa kodi kwa kupanga foleni ya kuchukua posho ya kukaa tu kitako pale bungeni.

Sasa ili kuweka kumbukumbu sawa na kuzuia upotoshaji huo wa makusudi unaofanywa na hilo genge la chama iko nimeamua niwaletee orodha ya waheshimiwa waliolishikia bango suala hili na vyama wanavyotoka kwa vitendo then mpime wenyewe na kuona kama chama iko kinastahili kubeba ushujaa wa hili ama kinajaribu kuteka hii hoja ili kujinufaisha kisiasa.
Majina ya wabunge waliotia saini hoja ya mh.zitto kabwe



  1. Mhe. Rashid Ali Abdallah – CUF
  2. Mhe . Chiku Aflah Abwao- CHADEMA
  3. Mhe . Saluim Ali Mbarouk – CUF
  4. Mhe . salum Khalfam Barwany – CUF
  5. Mhe . Deo Haule Filikuchombe - CCM
  6. Mhe.Pauline Philipo Gekul - CHADEMA
  7. Mhe. Asaa Othman Hamad - CUF
  8. Mhe. Prof.Kuliyokela Kahigi- CHADEMA
  9. Mhe.Naomi Mwakyoma Kaihula – CHADEMA
  10. Mhe . Sylvester Kasulumbayi - CHADEMA
  11. Mhe. Raya Ibrahim Khamis - CHADEMA
  12. Mhe. Mkiwa Hamad Kiwanga - CUF
  13. Mhe. Susan Limbweni Kiwanga - CHADEMA
  14. Mhe. Grace Sindato Kiwelu – CHADEMA
  15. Mhe. Kombo Khamis Kombo – CUF
  16. Mhe. Joshua Samwel Nassari – CHADEMA
  17. Mhe. Tundu Antiphas Lissu - chadema
  18. Mhe Aphaxar Kangi Lugola - CCM
  19. Mhe susan Anselim Lymo - CHADEMA
  20. Mhe. Moses Machali – NCCR Mageuzi
  21. Mhe. John Shibuda Magalle – CHADEMA
  22. Mhe. Faki Haji Makame - CUF
  23. Mhe . Esther Nicholas Matiko - CHADEMA
  24. Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi - CHADEMA
  25. Mhe. Freman Aikaeli Mbowe - CHADEMA
  26. Mhe. Kurudhum Jumanne Mchuchuli – CHADEMA
  27. Mhe. Halima James Mdee - CHADEMA
  28. John John Mnyika - CHADEMA
  29. Mhe. Augustino Lyatonga Mrema - TLP
  30. Mhe . Maryam Salum Msabaha - CHADEMA
  31. Mhe. Peter Msingwa - CHADEMA
  32. Mhe. Christowaja Gerson Mtinda - CHADEMA
  33. Mhe. Philipa Geofrey Mturano - CHADEMA
  34. Mhe. Christina Lissu Mughwai - CHADEMA
  35. Mhe. Joyce John Mukya – CHADEMA
  36. Mhe. Mchungaji Israel Yohane Natse – CHADEMA
  37. Mhe. Philemon Ndesamburo- CHADEMA
  38. Mhe. Ahmed Juma Ngwali - CUF
  39. Mhe. Vincent Josephat Nyerere - CHADEMA
  40. Mhe. Rashid Ali Omar - CUF
  41. Meshack Jeremiah Opulukwa - CHADEMA
  42. Mhe. Lucy Philemon Owenya - CHADEMA
  43. Mhe. Rachel Mashishanga - CHADEMA
  44. Mhe. Mhonga Said Ruhwanya – CHADEMA
  45. Mhe. Conchesta Rwamlaza – CHADEMA
  46. Mhe. Moza Abedi Saidy - CUF
  47. Mhe. Joseph Roman Selasini – CHADEMA
  48. Mhe. David Ernest Silinde - CHADEMA
  49. Mhe Rose Kamili Sukum - CHADEMA
  50. Mhe. Cecilia Daniel Paresso - CHADEMA
  51. Mhe. Kabwe Zuberi Zitto - CHADEMA
  52. Mhe. Magdalena Sakaya – CUF
  53. Mhe Rebecca Mngodo - CUF
  54. Mhe. Sabreena Sungura - CHADEMA
  55. Mhe. Hamad Rashid Mohammed- CUF
  56. Mhe. Rukia Kassim Ahmed (CUF)
  57. Mhe. Mustapha Boay Akoonay (CHADEMA)
  58. Mhe. Abdalla Haji Ali (CUF)
  59. Mhe. Khatibu Said Ali (CUF)
  60. Mhe. Hamad Ali Hamad (CUF)
  61. Mhe. Riziki Omar Juma (CUF)
  62. Mhe Haji Khatibu Kai (CUF)
  63. Mhe. Anna Marystella John Malack - CHADEMA
  64. Mhe. Hamad Rashid Mohamed (CUF)
  65. Mhe. Rajab Mbarouk Mohamed (CUF)
  66. Mhe. Thuwayba Idrissa Muhamed (CUF)
  67. Mhe. Masoud Abdallah Salum (CUF)
  68. Mhe. Muhamad Ibrahim Sanya (CUF)
  69. Mhe. Ali Khamis Seif (CUF)
  70. Mhe. Haroub Muhammed Shamis (CUF)
  71. Mhe. Amina Amour Nassoro (CUF)

Nawasilisha

Tukiachilia mbali the latest statistics ya waliosaini based on your list one can have the following

Chama

Idadi yao bungeni

Idadi ya Waliosaini

% of their total

% of the total in parliament

Position by percentage of the total
CCM

266

2

0.75

0.56

3
CHADEMA

48

40

83.00

11.23

1
CUF

36

27

75.00

7.58

2
NCCR

4

1

25.00

0.28

4
UDP

1

0

0.00

0.00

5
TLP

1

1

100

0.28

4
 
Nafikiri suala hapa la nani kaanzisha mjadala bungeni halisaidii huko tunakotaka kufika sasa bali linaweza kutugawa na kushindwa kufikiwa kwa malengo....Suala hili linagusa umma wa Watanzania wote bila kujali itikadi za kisiasa.Vitani huwa hawaanzishi chokochoko za wenyewe kwa wenyewe otherwise vita hivyo vitakuwa vya kuuana baina ya wapambanaji tukiacha maadui vilevile wakitumaliza.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom