Daniel Anderson
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 872
- 142
I mis some point here.......what you was trying to say boy!!
Hapo kwenye blue umemkosea jinsi yake ndugu yangu. Huyo ni ile nyingine..... Mtake radhi tafadhali
I mis some point here.......what you was trying to say boy!!
Ndani ya Chadema kuna utaratibu halali wa namna ya kumpata mgombea urais. Kwa hiyo kama Zitto anajiona ana sifa basi 2015 achukue fomu ya kuomba kupitishwa na chama chake. Hoja za kidini ni muflisi, usizipandikize.
Mkuu Kim, naikumbuka vizuri hii kauli yangu. Kwani unataka kusemaje?mzee unaikumbuka hii kauli yako ya busara uliyowahi kuitoa huko nyuma tena mwaka huu huu?
Hatukupewa na tume ya uchaguzi, wananchi wanatukubali mpaka sasa, na ndio maana hamlali. Mmekwenda Arusha kwa mbwembwe, mkaambulia aibu, leo hata diwani wa CDM akiwaita wananchi wakutane nae wataacha shughuli zao na kumiminika kumsikiliza. Ninyi endeleeni kukumbatiana na tume ndiyo uhai wenu kisiasa.kwa hiyo ilitoka makao makuu ya chadema au,acheni kibri kura zenu hazitoshi kuiangusha serikali bungeni,hata kama mngependa hamuwezi fanikiwa bila msaada wa anagalau cuf,yani kwenye mipango yenu yeyote mtakayoiandaa dhidi ya govt kuomba msaada cuf hakukwepeki kwani peke yenu hamna meno,hamkupewa na wananchi wapiga kura
Mkuu Kim, naikumbuka vizuri hii kauli yangu. Kwani unataka kusemaje?
vipi matokeo ya chaguzi za serikali za mitaa?mwaka jana unayo?Hatukupewa na tume ya uchaguzi, wananchi wanatukubali mpaka sasa, na ndio maana hamlali. Mmekwenda Arusha kwa mbwembwe, mkaambulia aibu, leo hata diwani wa CDM akiwaita wananchi wakutane nae wataacha shughuli zao na kumiminika kumsikiliza. Ninyi endeleeni kukumbatiana na tume ndiyo uhai wenu kisiasa.