Hoja ya Zitto sio ya CHADEMA

Hoja ya Zitto sio ya CHADEMA

Jamani tusiharibu mshikamano wa wabunge. This is Unilateral Movement for Change. Ni vyama vyote tofauti baadaye. Nyumba moja kwa nini tupiganie tofari? Nawe uliyeweka uzi umekurukupuka. Unaparua donda linalopona! Sio ustaarabu. Control your hormone of jealousness.

Nilikua naweka kumbukumbu sawa ili kuzuia upotoshaji wa makusudi uliotaka kufanywa na genge la watu wachache kwa maslahi yao na ya chama chao
 
Hata kama hoja ni ya makinda we dont care, hatuangalii rangi ya paka bt uwezo wake wa kukamata panya,,CCM wamesaini wangapi hapo mama???ingekuwa ni hoja ya bunge tungepata sahihi 245+,wale wa CCM waliokuwa wanatoka mapovu wako wapi???chezea na brain za vijana wewe,ukitoka povu tunakupa karatasi umwage sahihi,,,,,Kilango wapi?Ole Sendeka wapi???
Lakini zipo sahihi za wale mnaosemaga wameolewa na ccm pia msizisahau hizo,ndio maana nikasema hili sio la chama ni la wabunge bila kujali vyama
 
Nashindwa kumwelewa mtoa mada kwanini anaendekeza siasa za vyama wakati tunajadili issue nyeti zinazohusu rasilimali zetu? Pesa zinazoibiwa ni za watanzania wote bila kujali vyama vyao, Tz tuna hasara kuwa na watu wasiothamini mali umma badala yake wanathamini vyama vyao na wamejaa wivu. Kwani hoja ikiwa imetolewa na mbunge wa chama chochote kwa maslahi ya taifa letu na chama hicho kikajivunia mbunge huyo hapo tatizo liko wapi? Labda wivu tu.

Tatizo litakua umeweka mbele ama unaendekeza siasa za vyama na kuchanganya kila kitu na siasa za vyama...!
 
Bila kujali alieanzisha hoja ni nani awe Lissu au zitto ukweli ni kwamba wote ni zao la chadema na ni watanzania kwa ujumla na ni wajibu wao kama wawakilishi wa wananchi.....na umeona katika wabunge wote zaidi mia tatu ni wabunge 48 tu wa chadema ndio waonaokubebesha mzigo wa kodi kwa kuchukua posho ambayo ipo kisheria na iliyopitishwa na wabunge wa ccm walio wengi bungeni.?
Mbona zitto hiyo posho hachukui ina maana yeye hajui hiyo sheria au ameonyesha kwa vitendo kwamba anasimamia anachokisema?
 
KIM KARDASH
user-online.png
Inakuuma siyo, zitto na lissu ni wetu unaleta thread za kutugombanisha siyo!! kwa taarifa yako hatumpondi zitto wala cuf Kama ilivyo kuwa matarajiyo yako umeula wa chuya wewe gamba. Nenda kaomboleze huko tunavyo iteketeza mijizi yenu na mitumbo iliyojaa kodi zetu wenzako ritz na rejao wako chini ya meza

Mngesusia posho za kukaa kitako bungeni kama zitto ndio maneno yako yangekua na maana
 
Lakini zipo sahihi za wale mnaosemaga wameolewa na ccm pia msizisahau hizo,ndio maana nikasema hili sio la chama ni la wabunge bila kujali vyama

Lengo lako ni kuwagawa wabunge wa upinzani kitu ambacho kitakuwa ndoto. Hoja hapa si nani kaanzisha nini, maana hilo kwa watanzania is useless ila ni kina nani wanatetea masilahi yao. Ukiangalia hapo ni kwamba waliosasini ndiyo hasa wana uchungu. Ila kikubwa zaidi kitaonekana kwenye kura za siri kama waziri mkuu atapona basi itakuwa ni dhahiri kuwa CCM wanapepeta maneno na kuogopa matendo maana wao ndiyo wanaweza kufanya 50+1 percent ikatimia.
 
Ni mapema sana kuonyeshana itikadi katika suala hili_nadhan wengi hawafaham kuwa hoja hii itakapopelekwa Bungen itahitaj kuungwa mkono kwa 50%_ivo utaona ni kiasi kikubwa cha wabunge watahitajika kuungana kwa pamoja desipite ya Vyama wanavyotoka, tukianza kuonyeshana ubabe na ujuaji ni wazi suala hili halitoungwa mkono kwa kiasi hicho. Nawasihi kuacha mwenendo huu kwasababu halitowasaidia ninyi wala Taifa.

sasa jamaa zako hilo hawalitambui wanaanza kutukana mamba(wabunge wa ccm) kabla hawavuka mto,wanadhani sahihi 70 ambayo ni 20% tu ya wabunge zinatosha kuiangusha serikali bungeni,hawajui wanahitaji asilimia 51 ya wabunge ambayo ni sawa na wabunge 178 kufanikisha hilo,wakati wao peke yao hawafikishi hata wabunge 50 bungeni,waache kujidai wanaweza kuleta mabadiliko peke yao wakati uwezo huo hawana na wala hawajawahi kuwa nao,tatizo wamejawa na kibri ndio mana wamekua hawafanikiwi
 
KIM KARDASH,
Mkuu wangu Zitto ni mbunge wa Chadema hilo huwezi kuliondoa hata kidogo na kama angesimama Hamis Kombo wa CUF ingejulikana hoja imetolewa na nani na mbunge wa chama gani. Na hata Makamba aliposimama na kuhoji zoezi hili alisimama kama mwana CCM japokuwa yupo ktk kamati za bunge upande wa Upinzani (madini). Swala la kuungwa mkono hoja linatokana na wabunge wenyewe kutazama maslahi ya wananchi wake sio ya Chadema. Na kama uliona sii ya Chadema mbona hukusimama wewe?
 
Jamani tusiharibu mshikamano wa wabunge. This is Unilateral Movement for Change. Ni vyama vyote tofauti baadaye. Nyumba moja kwa nini tupiganie tofari? Nawe uliyeweka uzi umekurukupuka. Unaparua donda linalopona! Sio ustaarabu. Control your hormone of jealousness.

Kim na wenzako ambao mnataka kuifanya hii issue kuwa ya kichama mnashangaza, hakuna aiyesema hii issue ni ya chama fulani, bali ni ya wabunge wote na ni ya kitaifa zaidi.

Komeni kabisa kuharibu mikakati ambayo ni ya kitaifa zaidi... mnaboa sana....
 

SO, HOJA YAKO NI IPI SASA?
AU UMETUMWA? NAONA UMEKAA KIMAJUNGU-MAJUNGU, FITINA-FITINA HIV. Kwa hiyo unadhan Zito pekee yake anaweza kumtoa Pinda?. Katafute umaarufu kwingine kwasasa hili jambo ni la-watanzania waliochoshwa na madudu ya serikali. VIVA WAZALENDO.

Tatizo mimi huwa siku zote nasimamia kwenye kusema yale ambayo watu hawapendi kuyasikia lakini yapo,ndio mana nawatoa povu jingi,mi sijali povu la mtu kwa kuwa siko hapa ku win applause kama wengi wenu mlivyo,bali kuongea kile ambacho kipo lakini watu wamechagua kutopenda kukisikia
 
Huu sasa unaoleta hapa ni upuuzi.... unataka kuifanya hii issue ya kichama zaidi...au ndo tuite wivu wa kike?:A S angry:
 
Tatizo mimi huwa siku zote nasimamia kwenye kusema yale ambayo watu hawapendi kuyasikia lakini yapo,ndio mana nawatoa povu jingi,mi sijali povu la mtu kwa kuwa siko hapa ku win applause kama wengi wenu mlivyo,bali kuongea kile ambacho kipo lakini watu wamechagua kutopenda kukisikia

This is a simple Cra p! Kwa kuanzia tu 20 % hawamtaki mzembe Pinda. Kumbuka hao wanawakilisha majimbo yao, ni busara tu atumie! Kura ni ya Siri sintoshangaa ikifika huku wabunge 200 wakamkataa

Bravo Zitto
 
Mtoa mada, Naona anajaribu kuwa Alchemist, anataka kutengeneza dhahabu kutoka kwenye mchanga.

Hakuna Zitto (Mbunge) bila CHADEMA (Chama), ila kunaweza kuwa na Chama CHADEMA bila Mbunge Zitto. Huwezi kumtenganisha yeye na chama chake, haijalishi anafanya mambo ya aina gani, mazuri au mabaya.

Wewe mwenyewe umethibisha hili kwenye post yako, kwa nini unahusisha uchukuaji wa posho na chama cha CHADEMA? Au kwa sababu sio jambo zuri kisiasa?

Mabaya na mazuri ya wabunge wa CHADEMA ni ya CHADEMA.


Anakujibu huyu jamaa hapo chini mimi nimechoka naona labda tatizo ni mimi kutoa majibu...msome vizuri

...Hoja hii so ya chama chochote cha siasa, ni hoja kwa manufaa ya uwajibikaji ndani ya Serikali, na imepata nguvu kwa sababu ya mwelekeo wa Wabunge wa vyama vyote kuunga mkono hatua za kuwawajibisha Mawaziri...

...Mwenye akili yoyote na anayeiunga mkono hoja hii kwa manufaa ya mama Tanzania, hataihusisha kamwe hoja hii na chama chochote cha siasa, kwani kufanya hivyo ni kuwatenganisha wabunge na kupelekea kuiua hoja hii kabla haijakamilisha kusudio lake, na hii ni hekima...

...Zitto yupo juu ya siasa za vyama bungeni, na tunahitaji Wabunge wengi zaidi bungeni wanaoweza kusimamia maslahi ya nchi bila kujali manufaa ya vyama vyao, Ebu tumwache Zitto mwenyewe aseme....

LUKAZA: Hoja ya Zitto ya kutaka Waziri Mkuu Pinda apigiwe Kura ya Kutokuwa na Imani naye yakwama kutokana na kanuni za Bunge

...Amesema wabunge wa vyama vyote wamesaini ispokuwa UDP na kwamba, uongozi wa CUF umetoa maelekezo maalumu kwa wabunge wake kusaini.

...Zitto amesema hoja hiyo ni ya wabunge wote bila kujali itikadi za vyama na lengo ni kutengeneza Bunge la utendaji badala ya kulalamika.


Iwapo hoja hiyo itapitishwa na Bunge, Pinda atakuwa Waziri Mkuu wa kwanza kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye.


Zitto amesema kuwa wanatarajia kuwasilisha hoja hiyo kwa Spika wa Bunge, Jumatatu kwa ajili ya hatua zaidi....
 
Da kazi kweli kweli....mbona wapinzani watupu ...? CCM 2 tu ? haina haja kupeleka hoja hii, hapa inaonekana Zito kuna ajenda ya siri labda anataka kupanda chati agombee Urais kumpiku Slaa 2015, pia inawezekana kuna maslahai binafsi ya baadhi ya kamati hizi bunge..nimemsikia Nundu akieleza kwa nini haoni sababu ya kujiuzulu..kumbe kuna watu wana shinikiza KAMPUNUI MOJA TU YA CHINA CIVIL AND CONSTRUCTION LTD bila ya kufata taratibu za Zabuni,
yeye anataka zabuni iitwe na zishindane ili kampuni iliyo bora zaidi ifanye kazi..hizi ndio taratibu, sasa maslahi ya watu binafsi wanaenda wanatoa ripoti za kubuni kwa kina zito na wao bila ya tafiti au kwa maslahi watayopata wanamgeuzia kibao waziri Nundu.
ndio maana CCM 2 tu wamesaini motion hii, Namfahamu NUndu ni mtu msafi sana...kuliko zito..as inaoneka zito kupewa ukuu wa kamati hii ya bunge basi kuna maslahi anayaweka..rejea sakata la CHC NA MKULO ..hali ni hio hio....maslahi tu
wasijifanye wanatetea maslahi ya nchii hii.wote ni maslahi tu.
chunguzeni , someni itafute ripoti ya CAG UJUE UKWELI KUPOTOSHA KWA MASLAHI BINAFSI HAISAIDII KITU
 
Da kazi kweli kweli....mbona wapinzani watupu ...? CCM 2 tu ? haina haja kupeleka hoja hii, hapa inaonekana Zito kuna ajenda ya siri labda anataka kupanda chati agombee Urais kumpiku Slaa 2015, pia inawezekana kuna maslahai binafsi ya baadhi ya kamati hizi bunge..nimemsikia Nundu akieleza kwa nini haoni sababu ya kujiuzulu..kumbe kuna watu wana shinikiza KAMPUNUI MOJA TU YA CHINA CIVIL AND CONSTRUCTION LTD bila ya kufata taratibu za Zabuni,
yeye anataka zabuni iitwe na zishindane ili kampuni iliyo bora zaidi ifanye kazi..hizi ndio taratibu, sasa maslahi ya watu binafsi wanaenda wanatoa ripoti za kubuni kwa kina zito na wao bila ya tafiti au kwa maslahi watayopata wanamgeuzia kibao waziri Nundu.
ndio maana CCM 2 tu wamesaini motion hii, Namfahamu NUndu ni mtu msafi sana...kuliko zito..as inaoneka zito kupewa ukuu wa kamati hii ya bunge basi kuna maslahi anayaweka..rejea sakata la CHC NA MKULO ..hali ni hio hio....maslahi tu
wasijifanye wanatetea maslahi ya nchii hii.wote ni maslahi tu.
chunguzeni , someni itafute ripoti ya CAG UJUE UKWELI KUPOTOSHA KWA MASLAHI BINAFSI HAISAIDII KITU
 
Nafikiri mtoa maada anahitaji msamaha kwani anaingiza vyama kwenye hoja nzito za kitaifa. suala hapa ni pesa zetu kuliwa na wajanja kitu ambacho tunahitaji kusikitika na kupambana nacho
 
Katika watu ambao hawatumii akili kufikiri KIMKARDASH ameongoza.

Hoja siku zote zinaanzishwa na mtu moja, sasa kinachotakiwa ni akina nani wanaiunga mkono.
Ndicho kilichotokea kwenye pendekezo la zitto, aliyetaka mbunge yeyote aliyekerwa na wizi ule kuweka sahihi ya kuwasilisha hoja kwa spika.
Sina hakika kama majina yaliyowekwa humu ndivyo yalivyo kwenye karatasi ya zitto, lakini la msingi ni kwamba hoja imeungwa mkono na wabunge wa pande zote.

Sijawahi kuona katika maisha yangu watu wanafiki halafu wasahaulifu kama mashabiki wa chadema wakiongozwa na watu kama wewe,leo wewe unathubutu kusema kwamba hoja siku zote inaanzishwa na mtu mmoja!mbona kwenye ile hoja ya mazungumzo kati ya chadema na ikulu(rais)kuhusu mchakato wa katiba nilipoweka thread hapa na kusema kwamba ni zitto ndio alieianzisha mlinizomea kama mnavyonizomea leo huku mkidai haikua hoja iliyoanzishwa na zitto,mkadai hoja huanzishwa na chama siku zote?

Tuache unafiki.
 
Kuna shabiki mmoja wa Chadema anakaa maeneo ya Kimara anawambia jamaa zake kuwa Zitto katumwa na Slaa kupeleka hiyo hoja.

si ndio nimewakumbusha hata ile ya mazungumzo ya viongozi wa chadema na na jk tulipowaambia ilianzishwa na zitto na wale wazee kina warioba jamaa kwa kuwa zitto hatokei kaskazini mwa tanzania wakaipinga mbaya wakidai ni slaa!
 
WEE KARDASH muda mrefu nakuona unaishabikia ccm bila fact bt kuishabikia ccm shurti uwe na akili ya maiti,hoja yako haina mashiko.mbona ulisemaga kauli ya MTEI ni ya chadema? Sasa zitto nae c chadema.what u expert there
Lini niliwahi kuihusisha kauli ile ya kilevi na chadema,hebu ni quote mkuu,ni nyie kwa kuendekeza ukaskazini ndio mliiguza ile thread yangu kuwa ni mashambulizi yangu kwa chadema na wote mkaungana kunipinga kwa kuweka mbele ukaskazini,lakini mimi nilichosema mtei na jussa ni watu hatari sana na wanafaa kupuuzwa,usiniwekee maneno mdomoni please mzee
 
Back
Top Bottom