Jerry Ekky
JF-Expert Member
- May 6, 2018
- 1,682
- 5,051
Wasikilize CDM vizuri tgen msikilize spika vizuri. Kama umewasikiliza bgasi rudi tena ukawasikilize tena vizuri tgen urudi hapaKatiba ambayo Spika haijui maana ametaka apelekewe nakala? Hamna Katiba ya Chadema inayozungumzia viambatishi. Na Chadema hawajampelekea Spika madai bali wamempa taarifa. Wanachokidai sasa ni afuate Katiba ya nchi ( sio ya CDM) inavyosema kuhusu sifa ya mbunge.
Amandla..