Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Mtoa mada we ni kabila gani kwani?
Maana umekuja gunz blazing!
Maana umekuja gunz blazing!
Mtoa mada we ni kabila gani kwani?
Maana umekuja gunz blazing!
Mkuu Candid Scope ni kweli maelezo yako kuhusu mapenzi, mapenzi ya kweli yana heshima yake na ndilo nionalo kwa wasichana wa Kichaga!!!!!!!!! Wachaga hawajipeleki faaa, ua kujirahisisha mara nyingi ingawa si wote wanaangalia mtu aliye serious kwenye huo uhusiano wa mapenzi!!! Ni wakarimu lakini wanajijali wanajiheshimu sio limbukeni wanachagua ni makini, coz uhusiano wa mapenzi matokeo yake sahihi ni kuoana sikufanya umalaya kulalana ovyo!!!!! Tabia hizo za wasichana Wakichaga zinawapatia wanaume waliotayali kuoa na si vinginevyo!!!!!!!!
Acheni uongo nyie. Wachaga wanagawa kama biskuti za jeshi. Ukiwa na pesa tu hakuna mchaga atakayekukataa. Nakumbuka hata nilivyokuwa JKT. Wasichana wa kichaga walikuwa wanaongoza kwa kuliwa na ma koplo.
Mi nazan wale mnaoenda nao ndo mna matatizo. Kwa nini hamuwafunzi wakati hakuna alozaliwa anajua?
Duh, kauli yako inatisha, una maana wachaga ni manju kwa madanguro? Sijasikia bado kuhusu hili tangu uzi huu uanzishwe. Hakuna dogo hapa.
Kinacho nisikitisha sana ni kwamba wadada wengi walisha kubali kuitwa
"MADEMU",.....thubutu kumuita mchumba wangu hivo afu tuko wote uone.
Mwanzoni nlikua najitahidi sana kuwaambia watu aache kutumia maneno ya ajabu ajabu ila baada ya kuona hata wadada nao wanatumia nimeamua kutulia, alimradi tu nisije nikaitwa mimi personally.
Kuna tofauti gani hapo na wanawake wengine kumlaumu mwanamke mwenzao kwa kubakwa kwa kuwa alijitakia mwenyewe?
Hamna. . . wengine wanaona sawa, wengine hatuoni sawa.
Haya mtajiju wenyewe na mtaendelea kuwa nyuma na kunyanyaswa na kudhalilishwa na kuuliwa kwenye ma "honor killings" kwa sababu nyi wenyewe hamjijui wala kujitambua! Na ndo hapo hasa hoja yangu ilipo.
Hata muwezeshwe hamjiwezi.
Loh. . .
Haya bana!!!
Ushasikia kuhusu "honor killings"?
Yeahhh.
I watched a movie once, inaitwa "crossing over" kama sikosei. Ndugu mmoja alimuua dada yake kwasababu alikua analetea familia aibu kwa mwenendo wake.
She deserved it!