OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Mambo hayo ya makabila ni loooong time ago wakati hakuna connectivity na cultural infusion ndo waweza sema kabila flani hiv na flani vile with inter-marriage inayoendelea....kushikilia mawazo hayo ni kuwa na mawazo mgando tuuuu.
As a matter of fact kama umegundua wazuri wa sura na mapenzi zero.....then equation si imekwisha au......you just apply elimination method kupata unachotaka kama sura nenda moshi na kama mapenzi nenda huko unakokujua yapo
Na kama suala ni kuoa kabila then sura na mapenzi yanajiishia yenyewe naturally
My take...mapenzi ni fani kama kucheza ngoma vile with mafunzo maalum (kufundwa) hata tribeless (kama yupo) atakuwa mtaalamu tuu. So sio suala la kabila hapo
Muwaache Manka ma Kekuu wa watu washughulikie huko mikomba yao tupate ndisii...................
As a matter of fact kama umegundua wazuri wa sura na mapenzi zero.....then equation si imekwisha au......you just apply elimination method kupata unachotaka kama sura nenda moshi na kama mapenzi nenda huko unakokujua yapo
Na kama suala ni kuoa kabila then sura na mapenzi yanajiishia yenyewe naturally
My take...mapenzi ni fani kama kucheza ngoma vile with mafunzo maalum (kufundwa) hata tribeless (kama yupo) atakuwa mtaalamu tuu. So sio suala la kabila hapo
Muwaache Manka ma Kekuu wa watu washughulikie huko mikomba yao tupate ndisii...................