BENACO CAMP
Member
- Jul 19, 2011
- 12
- 14
Wapendwa siamini kama ili linaukweli hasa katika wakati huu ambapo watu wengi hasa hasa vijana wanaelimu ya kutosha ya duniani na mbinguni. Udhaifu wa mtu mmoja mmoja si busara kuwa ni udhaifu wa kabila au jamii. Hata hivyo mtu makini daima uweza kumsaidia mwenzi au mpenzi wake kutoka katika udhaifu alionao.
Napenda niwaachie ujumbe huu ufuatao nikiamini kwamba hakuna mantiki kabisa katika jambo hili bali ni ubatili mtupu.
Remember, "God chose the foolish things of the world to shame the wise;
God chose the weak things of the world to shame the strong. God chose the
lowly things of this world and the despised things-and the things that are
not-to nullify the things that are, so that no one may boast before Him."
Napenda niwaachie ujumbe huu ufuatao nikiamini kwamba hakuna mantiki kabisa katika jambo hili bali ni ubatili mtupu.
Remember, "God chose the foolish things of the world to shame the wise;
God chose the weak things of the world to shame the strong. God chose the
lowly things of this world and the despised things-and the things that are
not-to nullify the things that are, so that no one may boast before Him."