Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
- Thread starter
- #101
Too much about the chagga, now!
They have something special may be
Too much about the chagga, now!
Pamoja na kuegemea upande wa negative aspect, lakini comment yako imejaa positive aspect ambayo inamjengea heshima msichana wa kicaga. Umeeleza kwamba wasichana wa kichaga ni waaminifu katika ndoa na hata akiwa na bf ni mwaminifu, hilo ni jibu sahihi na ndio hulka nzuri inayotakiwa kuigwa.
You are blabbing! Raha ya chungwa lazima ukatiwe!
Kwa comment yako umekubaliana nami kwamba hawa ni wastaarabu na wana mapenzi ya kweli tofauti na wale wafanya ufuska.
Si watu wote walikomaa misuli wanaokimbiza mipira pale stadium, ndo hao waliokomaa misuli ni wale tunaowaiga mitandaoni na wale wanazunguka na kujianika mitaani kuchukuliwa na kila mpita njia anamjua au hamjui ili mradi amelipwa ujira. Hao wa aina hiyo ndio wako tayari kukimbia uwanja mzima kuhakikisha goli linafungwa, maana bila goli kutinga wavuni dau hakuna au dau linashuka.
Nakupa pole ukioa msichana mwenye kuzoea mbio za maratoni, utajuta kuzaliwa, na ni wachache wanaoweza kukimbizana nao. Mwanariadha anahitaji mazoezi kila siku mchana na usiku ili aweza kumudu mbio za maathoni. Wastaarabu wana staha zao, heshima zao, kujali afya zao, huku kugeuzana na kupinduana kana kwamba samaki hajakauka upande wapi umgeuze akaushwe na upande mwingine tuwaachie wenyewe. Hivyo wasichana wa kichaga wana limit ya matanuzi ndo maana yake wanajali penzi na staha ya afya pamoja na ustaarabu wa kuheshimu miili yao.
Jamani natafuta msichana wa kichaga naona heshima itapanda zaidi, vinginevyo hawa wengine nitaishia kuutumikia mwili wangu katika madhaifu yake hata unikoseshe kufikiria nini nifanye kwa ajili ya kustaafu kwangu, maana ujana nao hutufanya kana kwamba maisha haya hayana mwisho, tunakuwa na upeo mkubwa mno wa mwelekeo wa matanuzi na maraha yasiyoisha. Ukipendelea hivyo matanuzi yasiyoisha yanaweza kukukodesha mtu hata ukakosa amani maana zaidi upatavyo ndivyo utamanisvyo.
Mtoa mada ana uelewa finyu wa hii dhana ya mapenzi.
Namshauri kuhudhuria madarasa ya ndoa na kujielimisha juu ya dhana nzima ya mapenzi, vitu vinavyojenga penzi ktk maisha ya ndoa badala ya kulisha watu upupu.
i will never get married with these people, i afraid them.
Sex ina play part kubwa kwenye mapenzi. Naona mtoa mada anataka kulipinga hilo lakini huo ni ukweli usopingika. Iwe ni ndoa au wapenzi wa kawaida kama mmoja kati yao hana mwamko wa sex ndoa au uhusiano utayumba.
Ila hilo halina uchaga wala ukabila ni kwa wote. Source ya problems nyingi kwenye mahusiano ni mtu kuto enjoy sex (na wakati mwingine ni tokana na malezi na imani iliyomjenga kuwa sex ni dhambi, mwili ni hekalu la bwana n.k) na kuona kama ni dhambi; kitu ambacho mtoa maada amekisema implicitly.
Ukikuta mwenza wako ana mahitaji ambayo huwezi mtimizia; nadhani nyote mnajua what next!:juggle:
i will never get married with these people, i afraid them.
Mtoa mada ana uelewa finyu wa hii dhana ya mapenzi.
Namshauri kuhudhuria madarasa ya ndoa na kujielimisha juu ya dhana nzima ya mapenzi, vitu vinavyojenga penzi ktk maisha ya ndoa badala ya kulisha watu upupu.
Umeona eeh. Anachukulia ndoa na mume/ mke mwema ni anayejua kuzisaka pesa.
Ndoa ni tendo; kama ni pesa waweza kuwa nazo hata ukiwa peke yako.
:A S 465:
Jaribu kufafanua kwamba ndoa ni tendo, tendo gani? Kwa wanaoona umuhimu wa kuridhia sex kama kigezo muhimu cha mapenzi hawaoni sababu ya kufungamana na mmoja. Kama maana ya ndoa si sex tu kuna kitu kingine zaidi ya sex ndicho kinachowaunganisha wawili for good, for life.
Bado tu mnaendelea? Ngoja nihame kabila!!