Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #61
Ofisini...siyo?swali la msingi halijajibiwa bado "Rais wetu yupo wapi?"
Ofisini...siyo?swali la msingi halijajibiwa bado "Rais wetu yupo wapi?"
Kwani rais anatakiwa kuwa wapi?Mkuu, suala muhimu ni taarifa sahihi kuhusu alipo Mkulu kwa zaidi ya wiki mbili, hayo mengine kuhusu Lissu hayana nafasi kwa sasa.
Wahuni wenu huko Twitter si walikuwa wanawapa updates za hali yake?Exactly, eti anataka watu wasiulize na wakati huo huo ana shauku ya kujua alipo Mungu wa Chattle
Kwani yule mhuni wenu wa ubelgiji anasema yuko wapi?swali la msingi halijajibiwa bado "Rais wetu yupo wapi?"
Mkuu wa kijiji na Mwanakijiji katu hawana hiyana.Nimesoma andiko lina mtiririko Wa kisomi
Vile ndiye wewe yule anayejiita mwanasayansi?Halafu wahuni hawa hata hawajui kuwa watu walishawadharau!! Tanzania tuko vizuri na tunachapa Kazi! Hawa wanaouliza Rais yuko wapi huenda wanataka kumwomba pesa!! Wavivu hawa! Wameambiwa Rais yuko vizuri na anachapa Kazi lakini hawataki kuamini!! Wamechagua kutokuamini hata wakimwona hawataamini!! Watasema ni msukule!!
Tangazeni tu.Cha kushangaza ni kwamba wanaoulizia Rais aliko ni walewale waliotuambia yuko nairobi hospital, ni walewale waliotuambia yuko kati ya sehemu mbili🙄 india au china 🤔🤔
Yohane johnthebaptist hawa watu tuwaiteje!?
Na hiyo stroke unayowawazia wengine ikupate mwenyewe kushoto na kuliaWatu wako makini Mr kiki kama kapata stroke tunabidi tuambiwe
Ofisini....wapi?Ofisini...siyo?
Tutangaze nini!?Tangazeni tu.
Wote waliompiga lissu Risasi wapigwe strokeNa hiyo stroke unayowawazia wengine ikupate mwenyewe kushoto na kulia
Hivi hujui ofisi ya Rais? Umeenda ofisini kwake ukamkosa?
ofisi gani Chato,Chamwino au magogoni?Hivi hujui ofisi ya Rais? Umeenda ofisini kwake ukamkosa?
sisi tunataka ofisi iseme alipo rais wetu full stop!!Kwani yule mhuni wenu wa ubelgiji anasema yuko wapi?
Hii ni kwaresma watu wako mlimani!
Tumia jina ulilotumia kwa wale waliosema watagawa 50m@kijiji.Cha kushangaza ni kwamba wanaoulizia Rais aliko ni walewale waliotuambia yuko nairobi hospital, ni walewale waliotuambia yuko kati ya sehemu mbili🙄 india au china 🤔🤔
Yohane johnthebaptist hawa watu tuwaiteje!?
Lissu alishajibu, au Sasa hivi hammuamini?Ili kuondoa hali ya udhanifu na kupata majibu sahihi maswali yanatakiwa ya ulizwe hivi:-
1. Kwanini Muheshimiwa Rais haonekeni hadharani kwa siku kadhaa Kama ilivyozoeleka?