kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,340
- 12,658
CCM na hata Mwl Nyerere RIP hofu Yao kuu kwa vyama vya upinzani ni kuvurugika kwa umoja, amani na mshikamano wa watanzania, kuvunjika kwa muungano na vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Je, hofu hii ni ya kweli na dhahili?
Je, wanasiasa wa vyama vya upinzani wanao uwezo wa kudumisha mshikamano, amani, utulivu na muungano?
Kifup,i wanasiasa wa upinzani wanao uwezo wa kuiongoza nchi kwa miaka 5 mfululizo kama wakiaminiwa na wananchi? Wana ajenda gani juu ya mshikamano, utulivu, amani na muungano? Wana ajenda gani juu ya uchumi na hali za watu, ni nini vitakuwa vyanzo vyao vya fedha, watajitegemea au watategemea zaidi wazungu?
Haya ndiyo maswali ambayo CCM Bara na CCM Zanzibar inaweza kusita kufanya siasa za kistaarabu, wazi na za haki.
Ni kazi ya vyama vya upinzani kuyajibu maswali haya yote kila wanapopata nafasi ya kupanda jukwaani kuongea na umma. Tunachokiona Sasa ni kila mwanasiasa wa upinzani aliyepatiwa nafasi na wananchi kuwa mbunge au kiongozi kujilimbikizia mali ili kuhakikisha kuwa hawi maskini tena kwa kutumia nafasi yake.
Kuna wahisani wengi wanachomba visima, wanajenga madarasa, nk. Je, vyama vya upinzani vimewahi japo kuchimba Rambo moja pahali kama trailer wakati wananchi wakisubiri sinema kamili watakapoishika dola?
Je, hofu ya CCM kwa wapinzani ni ya bure?
Je, hofu hii ni ya kweli na dhahili?
Je, wanasiasa wa vyama vya upinzani wanao uwezo wa kudumisha mshikamano, amani, utulivu na muungano?
Kifup,i wanasiasa wa upinzani wanao uwezo wa kuiongoza nchi kwa miaka 5 mfululizo kama wakiaminiwa na wananchi? Wana ajenda gani juu ya mshikamano, utulivu, amani na muungano? Wana ajenda gani juu ya uchumi na hali za watu, ni nini vitakuwa vyanzo vyao vya fedha, watajitegemea au watategemea zaidi wazungu?
Haya ndiyo maswali ambayo CCM Bara na CCM Zanzibar inaweza kusita kufanya siasa za kistaarabu, wazi na za haki.
Ni kazi ya vyama vya upinzani kuyajibu maswali haya yote kila wanapopata nafasi ya kupanda jukwaani kuongea na umma. Tunachokiona Sasa ni kila mwanasiasa wa upinzani aliyepatiwa nafasi na wananchi kuwa mbunge au kiongozi kujilimbikizia mali ili kuhakikisha kuwa hawi maskini tena kwa kutumia nafasi yake.
Kuna wahisani wengi wanachomba visima, wanajenga madarasa, nk. Je, vyama vya upinzani vimewahi japo kuchimba Rambo moja pahali kama trailer wakati wananchi wakisubiri sinema kamili watakapoishika dola?
Je, hofu ya CCM kwa wapinzani ni ya bure?