Old Granny
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 392
- 557
- Thread starter
- #41
Relax mjukuuSawa, kikubwa tuweke akiba ya maneno
Relax mjukuuSawa, kikubwa tuweke akiba ya maneno
Samahani mkuuYani wajukuu mna vijimaswali vya kihere here Ka bao la kwanza[emoji23] [emoji23]
Mimi jibu nishapigia mstari, huwezi kunishawishi tena nibadili mtazamoRelax mjukuu
Mneniacha njia panda mboni[emoji144][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hata enzi hizo giLESI naye aliteka jukwaaa
Unamkumbuka Husnathebosslady?Samahani mkuu
Sana tuuUnamkumbuka Husnathebosslady?
Mboni na mi siielewi hiihalafu hii ilinipata ujue mdog wangu
Wahi tuende sambambaMneniacha njia panda mboni[emoji144]
Tashukur sana mjukuu wangYa humu Jf... kukuonesha majukwaa.
Agiza soda naja kulipaSijawahi kuona mtoto anazaliwa halafu anaanza kutembea.
Tuambiane tu ukweli kama wewe ni mwenyeji ila umekuja kwa funguo nyingine haina tatizo, sio vizuri ukianza kutuhadaa.
Kwa muda niliopo humu ni rahisi sana kumjua mtu mgeni halisi na mgeni wa kuigiza.
Kila la kheri!!
Usishangae jirani.....Sana tuu
Ya bei gani? Usije ukazidiwa na bill bureAgiza soda naja kulipa
[emoji40] [emoji40] [emoji40]Usishangae jirani.....
Umeshaanza kuonyesha rangi yako!Yani wajukuu mna vijimaswali vya kihere here Ka bao la kwanza[emoji23] [emoji23]
We agiza naja lipia bhana.Ya bei gani? Usije ukazidiwa na bill bure
Mjukuu wangu una povu[emoji23] [emoji23] ningekuwa kijana ningesema unantaka mboni..khaaaaa..yan bahat yko mi mzeeMimi jibu nishapigia mstari, huwezi kunishawishi tena nibadili mtazamo
Mmmmmm ayaWahi tuende sambamba
Karibu bibi kijana na asante kwa huu msemo. Mimi mfanyabiashara za Khanga nitatumia kuweka hili neno. Ng'ombe hazeeki maini, nayaweza yote.Habari wana jf!
Siku izi zama zimebadilika sana, hadi kina bibi tunajua na bdo tunaendelea kujifunza ktumia mitandao..
Mim n bibi wa mwendokasi,
Naomba mnipokee kwa mikono mi2.
Povu ruksa,nataka nikafulie [emoji23] [emoji23] .
Ujumbe..Ng'ombe hazeeki maini, nayawexa yote.
Ok.We agiza naja lipia bhana.
Hujambo lakini?
Sawa usijali.Mjukuu wangu una povu[emoji23] [emoji23] ningekuwa kijana ningesema unantaka mboni..khaaaaa..yan bahat yko mi mzee