Hodiii wana JF

Hodiii wana JF

Yan nimefurahii ..nilijua nipo peke yngu..asante kassie matata...nafikiri utakuwa matata kweli kama jna lako[emoji23]
Ndo nishakaribia kuja kula vinono vya jamii forum

Kila la kheri bibi mwenzangu.
 
Mababu pia wako humu ila bado wako imara usipokuwa macho inanasa kweupee hivi unajiona.[/QUOTE]

Apo kwa mababu menifurahisha[emoji1] [emoji1] mi tainasuaaa
 
Sijawahi kuona mtoto anazaliwa halafu anaanza kutembea.

Tuambiane tu ukweli kama wewe ni mwenyeji ila umekuja kwa funguo nyingine haina tatizo, sio vizuri ukianza kutuhadaa.

Kwa muda niliopo humu ni rahisi sana kumjua mtu mgeni halisi na mgeni wa kuigiza.

Kila la kheri!!
[emoji23] [emoji23] mwifwa , hujawai ona??? Kua uyaone mwanangu...ww bado mdogo ndo mana hujawai ona ukikua utayajua mengi mjukuu wangu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom