Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,078
- 10,425
Sijaelewa hapa MASALIA ndiyo watu gani?? funguka kidogo dadaHata MASALIA kama wewe ulipofikia sasa, lakini unakuwa ni wewe mwenyewe umejitengenezea
Sijaelewa hapa MASALIA ndiyo watu gani?? funguka kidogo dadaHata MASALIA kama wewe ulipofikia sasa, lakini unakuwa ni wewe mwenyewe umejitengenezea
kuna mbegu zilianguka kwenye mchanga, nyingine kwenye miba, nyingine kwenye miamba na nyingine kwenye udongo mzuri. wasiwasi wangu ni namna ulishawishika kuipenda chadema naona ni kama mbegu iliyoanguka kwenye miba ambayo nayo itaanza kumea na kuota lakini...
Utaipotosha familia...
kwanza kabisa ni binti ambaye nlikuwa sifuatilii mambo ya siasa.mwaka 2010 kidogo kupaa kwa cCHADEMA hakukunifanya niipende CHADEMA ila nilipenda tu slaa awe raisi wa nchi yangu.hivyo kwa mara ya kwanza nikapanga foleni kupiga kura.
Sikupiga kura sababu ya kuipenda CHADEMA bali sababu nilipenda slaa awe raisi.na baada ya slaa kutoingia ikulu nikarudi kuwa raia wa kawaida asiyejua taifa lake linakwenda wapi
.Ndipo katika pitapita yangu mtandaoni nikakutana na jamii forum na nimekuwa mfuatiliaji wa mada mbalimbali zinazohusu siasa pia na kuona mengi yanayoihusu CHADEMA na CCM. kwa kweli leo nimeamua kuwa mguu sawa CHADEMA kwan nimeona kwa ccm kutumia muda mwingi kuichafua CHADEMA chama ambacho hakipo madarakan na wao kuacha kutupa tathmin ya nn wametufanyia hadi leo hii zaidi ya maisha bora waliyotuahidi kuwa bora maisha nimewaza nimeona CCM inacheza na akili za watanzania.....kama mwanamke ninayejitambua sasa nimeona niweke miguu yote CHADEMA mimi na familia yangu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI CHADEMA.
Aii!! yaani JF pekee ndiyo imekufanya uipende chadema???? usiwe laini kihivyo. Nenda kasome katiba za vyama vyote, katiba ya nchi, bible, koran pitia mitandao mbali mbali ya kijamii kisha wasikilize wengine mawazo yao halafu ndiyo ukae uchekeche kwa utulivu ndiyo ufanye uamuzi. Ninyi ndiyo kesho na kesho kutwa hamkawii kurudisha kadi
nn maana ya siasa?siwezi rudi nyuma trust me ntajifunza ntasimama ila kwa mtoto wa mkulima kama mimi ccm si pangu
kwanza kabisa ni binti ambaye nlikuwa sifuatilii mambo ya siasa.mwaka 2010 kidogo kupaa kwa cchadema hakukunifanya niipende chadema ila nilipenda tu slaa awe raisi wa nchi yangu.hivyo kwa mara ya kwanza nikapanga foleni kupiga kura.
Sikupiga kura sababu ya kuipenda chadema bali sababu nilipenda slaa awe raisi.na baada ya slaa kutoingia ikulu nikarudi kuwa raia wa kawaida asiyejua taifa lake linakwenda wapi
.ndipo katika pitapita yangu mtandaoni nikakutana na jamii forum na nimekuwa mfuatiliaji wa mada mbalimbali zinazohusu siasa pia na kuona mengi yanayoihusu chadema na ccm. Kwa kweli leo nimeamua kuwa mguu sawa chadema kwan nimeona kwa ccm kutumia muda mwingi kuichafua chadema chama ambacho hakipo madarakan na wao kuacha kutupa tathmin ya nn wametufanyia hadi leo hii zaidi ya maisha bora waliyotuahidi kuwa bora maisha nimewaza nimeona ccm inacheza na akili za watanzania.....kama mwanamke ninayejitambua sasa nimeona niweke miguu yote chadema mimi na familia yangu.
Mungu ibariki tanzania, mungu ibariki chadema.
Ahsante kwa jibu mujarab..
biblia inasema mtu mmoja akiokoka duniani,mbingu huwa inazizima kwa furaha,karibu sana dada,siamini kama utakuwa pandikizi la yule jamaa wa cd.
Au unaogopa kong'olewa kucha wewe!!
kwanza kabisa ni binti ambaye nlikuwa sifuatilii mambo ya siasa.mwaka 2010 kidogo kupaa kwa cCHADEMA hakukunifanya niipende CHADEMA ila nilipenda tu slaa awe raisi wa nchi yangu.hivyo kwa mara ya kwanza nikapanga foleni kupiga kura.
Sikupiga kura sababu ya kuipenda CHADEMA bali sababu nilipenda slaa awe raisi.na baada ya slaa kutoingia ikulu nikarudi kuwa raia wa kawaida asiyejua taifa lake linakwenda wapi
.Ndipo katika pitapita yangu mtandaoni nikakutana na jamii forum na nimekuwa mfuatiliaji wa mada mbalimbali zinazohusu siasa pia na kuona mengi yanayoihusu CHADEMA na CCM. kwa kweli leo nimeamua kuwa mguu sawa CHADEMA kwan nimeona kwa ccm kutumia muda mwingi kuichafua CHADEMA chama ambacho hakipo madarakan na wao kuacha kutupa tathmin ya nn wametufanyia hadi leo hii zaidi ya maisha bora waliyotuahidi kuwa bora maisha nimewaza nimeona CCM inacheza na akili za watanzania.....kama mwanamke ninayejitambua sasa nimeona niweke miguu yote CHADEMA mimi na familia yangu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI CHADEMA.
Ni mwanzo mzuri, bado safari ni ndefu. Tunahitaji mapinduzi kwanza kurudisha heshima. Unadhani Chadema pekee wataweza?
nn maana ya siasa?siwezi rudi nyuma trust me ntajifunza ntasimama ila kwa mtoto wa mkulima kama mimi ccm si pangu
unakosea ukisema hutarudi nyuma, nilifikiri utasema nitasimama imara labda tu chadema ianze kuharibika na kuwa kama ccm ndio nitaiacha. hii ndio itakuwa siasa.
hata nyerere alifika sehemu alisema ikiwa ccm itakuwa kinyume na imani yangu sitaing'ang'ania nitaiacha.
upo sawa unenacho nimemaanisha kurudi nyuma means kutokuwa mwanachama wa chama chochote kile maana ndipo nilipotoka.ila pia siwezi ingia sehemu kwa kujua ipo cku ntatoka naamin nilipo na nina imani nao.kwa hayo unayosema kweli yapo watu wanachukua maamuzi wanayoona yapo sahihi kwa upande wao ila sipendi kuwazia hilo kwa wakat huu.pia asante kwa ushauri ndo kujifunza kwenyewe
Siyo lazima uende CCM kuna vyama vingine vingi tu. CUF,UDP, Chausta nk nk. Tumia akili yako kwa ukamilifu pata habari ya vyama vingine ndiyo uamue. Nani kakwambia CDM ni chama cha watoto wakulima?? Tuliza akili bora ubakie kuwa shabiki tu wa CDM kuliko kuingia uananchama wa chama ambacho hujapata taarifa zake muhimu :A S shade: