wewe kalale tu umekurupuka bila kufikiri.yanayoandikwa mtandaoni ni maoni ya wanachama sio matamko ya chama.
Aii!! yaani JF pekee ndiyo imekufanya uipende chadema???? usiwe laini kihivyo. Nenda kasome katiba za vyama vyote, katiba ya nchi, bible, koran pitia mitandao mbali mbali ya kijamii kisha wasikilize wengine mawazo yao halafu ndiyo ukae uchekeche kwa utulivu ndiyo ufanye uamuzi. Ninyi ndiyo kesho na kesho kutwa hamkawii kurudisha kadi
Mungu tazama taifa letu linavyotawaliwa kishetani ,tunaomba Baba utukufu na uweza wako utuangazia nuru ya amni na upendo kati yetu ili tukalisifu jina lako kwa upendo. tunajua ya kuwa baba wewe ndio muweza wa yote na hakuna linaloshindikana kwako. Imeandika baba hakuna mzazi mtotoe akimuomba sukari atampa chumvi. Tunaomba baba utupe nguvu na uweza wa kuweza kulikomboa taifa letu kutoka katika mikono ya wanyang'anyi. MUBARIKI HUYU DADA AWE MUKOMBOZI KWELI WALA ASIWE KAMA PETRO . AMINAkwanza kabisa ni binti ambaye nlikuwa sifuatilii mambo ya siasa.mwaka 2010 kidogo kupaa kwa cCHADEMA hakukunifanya niipende CHADEMA ila nilipenda tu slaa awe raisi wa nchi yangu.hivyo kwa mara ya kwanza nikapanga foleni kupiga kura. Sikupiga kura sababu ya kuipenda CHADEMA bali sababu nilipenda slaa awe raisi.na baada ya slaa kutoingia ikulu nikarudi kuwa raia wa kawaida asiyejua taifa lake linakwenda wapi.Ndipo katika pitapita yangu mtandaoni nikakutana na jamii forum na nimekuwa mfuatiliaji wa mada mbalimbali zinazohusu siasa pia na kuona mengi yanayoihusu CHADEMA na CCM. kwa kweli leo nimeamua kuwa mguu sawa CHADEMA kwan nimeona kwa ccm kutumia muda mwingi kuichafua CHADEMA chama ambacho hakipo madarakan na wao kuacha kutupa tathmin ya nn wametufanyia hadi leo hii zaidi ya maisha bora waliyotuahidi kuwa bora maisha nimewaza nimeona CCM inacheza na akili za watanzania.....kama mwanamke ninayejitambua sasa nimeona niweke miguu yote CHADEMA mimi na familia yangu.MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI CHADEMA.
ushaur c lazma ufuatwe tena komaNenda kwenye ofisi za chadema kachukue kadi, hapa JF hatuhitaji kujua itikadi za watu maana hii ni Forum huru wee leta mada tu tuijadiri, ina maana wewe hujamuelewa Chris Lukosi kwa ushauri wake kwa vijana?
Nenda kwenye ofisi za chadema kachukue kadi, hapa JF hatuhitaji kujua itikadi za watu maana hii ni Forum huru wee leta mada tu tuijadiri, ina maana wewe hujamuelewa Chris Lukosi kwa ushauri wake kwa vijana?
Karibu kwenye chama cha Yesu!
wewe kalale tu umekurupuka bila kufikiri.yanayoandikwa mtandaoni ni maoni ya wanachama sio matamko ya chama.
Slaa anatoa kadi chumbani,angalia tu na wewe usiwe kama wale wadada wa wasira
anapaswa kueleweshwa tofauti ya opinions na facts. tatizo lake ameegemea kwenye opinions na kufikia uamuzi na hili ndio janga la walio wengi nchini.
Mi.nakupa pole.sana .
nenda uwe gaidi baada ya rwakatale na upewe dili la kuua kwa stmu kama ben saanane na ujifunze kuwa kigeugeu kama slaa
nenda uwe gaidi baada ya rwakatale na upewe dili la kuua kwa stmu kama ben saanane na ujifunze kuwa kigeugeu kama slaa
Slaa anatoa kadi chumbani,angalia tu na wewe usiwe kama wale wadada wa wasira
Karibu kwenye chama cha Yesu!
niamini ckuwa chama
chochote sina pa kurudi ila nimeona niwe chadema.kama ni mchujo
nimeufanya na kuona wapi mahala sahihi panaponifaa ni uchaguzi tu 2po
pa1
kwanza kabisa ni binti ambaye nlikuwa sifuatilii mambo ya siasa.mwaka 2010 kidogo kupaa kwa cCHADEMA hakukunifanya niipende CHADEMA ila nilipenda tu slaa awe raisi wa nchi yangu.hivyo kwa mara ya kwanza nikapanga foleni kupiga kura.
Sikupiga kura sababu ya kuipenda CHADEMA bali sababu nilipenda slaa awe raisi.na baada ya slaa kutoingia ikulu nikarudi kuwa raia wa kawaida asiyejua taifa lake linakwenda wapi
.Ndipo katika pitapita yangu mtandaoni nikakutana na jamii forum na nimekuwa mfuatiliaji wa mada mbalimbali zinazohusu siasa pia na kuona mengi yanayoihusu CHADEMA na CCM. kwa kweli leo nimeamua kuwa mguu sawa CHADEMA kwan nimeona kwa ccm kutumia muda mwingi kuichafua CHADEMA chama ambacho hakipo madarakan na wao kuacha kutupa tathmin ya nn wametufanyia hadi leo hii zaidi ya maisha bora waliyotuahidi kuwa bora maisha nimewaza nimeona CCM inacheza na akili za watanzania.....kama mwanamke ninayejitambua sasa nimeona niweke miguu yote CHADEMA mimi na familia yangu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI CHADEMA.