ccm baba wa demokrasia ,imeilinda nchi hii toka mwaka 1961 kwa amani ndio maana hata wengine wanapata nafasi ya kufanya upinzani leo.laana kwa wanaokejeli kuwa ccm ni mkoloni wanataka ukombozi,ukombozi gani?nadhani know how hakuna kwa aina hii ya watanzania.badala ya cdm kuwafunza elimu ya uraia,imekalia maandamano yasio na tija kwa taifa.hii ni nchi yetu sote, cdm mnatakiwa kuungana na watanzania wenzenu kupambana na adui njaa,maradhi na umasikini,tunaongozwa na katiba moja ya jamuhuri ya muungano wa tanzania.ni kweli kuwa hamulielewi hilo?