Elisha Sarikiel
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 889
- 1,515
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Iwe pia naweNashukuru kiongozi na amani iwe nawe!
Iwe pia nawe
Hizi ni anga zangu babu usisogee pls.....kaaariiiibuuuuuu.Asante kwa ukaribisho na Mungu akubariki babuu !
Hizi ni anga zangu babu usisogee pls.....kaaariiiibuuuuuu.
Bwana asifiwe Sana karibu # Amen
Karibu weka namba ya simu tafadhali
karibu shujaa, Tuko wengi humu watoto wa baba ila tumevaa Mask!BWANA ASIFIWE ............. !
Najitambulisha kwenu wana JamiiForums kwamba ni mgeni wenu.
Natarajia mapokezi na ushirikiano kama mwanajamii mzee lakini kijana katika jukwaa !
Mimi nina mke mmoja mpaka kifo, na nina watoto wa kiume na kike katika familia niliyojaliwa, na Mungu aliyemwumba mwanadamu na kumwambia " Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi; baada ya kuwabariki. "
Basi niseme haya kwa kila anayesoma ujumbe huu:-
Mungu akubariki kwa baraka zote za rohoni na mwilini;
na
Mungu akukulinde kila uingiapo na kutoka;
na
Mungu akungazie nuru za uso wake wakati wote;
na
Mungu akufadhili sawa na haja ya moyo wako;
na
Mungu akuinulie uso wake kila unaposali;
na
Mungu akupe amani ipitayo akili za wanadamu katika Jina la Yesu.
Mwisho, tuseme π£ #AMEN na itapendeaza ukiandika β "AMEN".
karibu shujaa, Tuko wengi humu watoto wa baba ila tumevaa Mask!
Sawa mgeni mtiifu.BWANA ASIFIWE ............. !
Najitambulisha kwenu wana JamiiForums kwamba ni mgeni wenu.
Natarajia mapokezi na ushirikiano kama mwanajamii mzee lakini kijana katika jukwaa !
Mimi nina mke mmoja mpaka kifo, na nina watoto wa kiume na kike katika familia niliyojaliwa, na Mungu aliyemwumba mwanadamu na kumwambia " Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi; baada ya kuwabariki. "
Basi niseme haya kwa kila anayesoma ujumbe huu:-
Mungu akubariki kwa baraka zote za rohoni na mwilini;
na
Mungu akukulinde kila uingiapo na kutoka;
na
Mungu akungazie nuru za uso wake wakati wote;
na
Mungu akufadhili sawa na haja ya moyo wako;
na
Mungu akuinulie uso wake kila unaposali;
na
Mungu akupe amani ipitayo akili za wanadamu katika Jina la Yesu.
Mwisho, tuseme π£ #AMEN na itapendeaza ukiandika β "AMEN".
shukrani mkuuSawa mgeni mtiifu.