Hodi katika jukwaa lililo bora la JamiiForums

Elisha Sarikiel

JF-Expert Member
Aug 29, 2020
889
1,515
BWANA ASIFIWE ............. !

Najitambulisha kwenu wana JamiiForums kwamba ni mgeni wenu.
Natarajia mapokezi na ushirikiano kama mwanajamii mzee lakini kijana katika jukwaa !

Mimi nina mke mmoja mpaka kifo, na nina watoto wa kiume na kike katika familia niliyojaliwa, na Mungu aliyemwumba mwanadamu na kumwambia " Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi; baada ya kuwabariki. "

Basi niseme haya kwa kila anayesoma ujumbe huu:-
Mungu akubariki kwa baraka zote za rohoni na mwilini;

na
Mungu akukulinde kila uingiapo na kutoka;
na
Mungu akungazie nuru za uso wake wakati wote;
na
Mungu akufadhili sawa na haja ya moyo wako;
na
Mungu akuinulie uso wake kila unaposali;
na
Mungu akupe amani ipitayo akili za wanadamu katika Jina la Yesu.

Mwisho, tuseme 🗣 #AMEN na itapendeaza ukiandika ✍ "AMEN".
 
BWANA ASIFIWE ............. !

Najitambulisha kwenu wana JamiiForums kwamba ni mgeni wenu.
Natarajia mapokezi na ushirikiano kama mwanajamii mzee lakini kijana katika jukwaa !

Mimi nina mke mmoja mpaka kifo, na nina watoto wa kiume na kike katika familia niliyojaliwa, na Mungu aliyemwumba mwanadamu na kumwambia " Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi; baada ya kuwabariki. "

Basi niseme haya kwa kila anayesoma ujumbe huu:-
Mungu akubariki kwa baraka zote za rohoni na mwilini;

na
Mungu akukulinde kila uingiapo na kutoka;
na
Mungu akungazie nuru za uso wake wakati wote;
na
Mungu akufadhili sawa na haja ya moyo wako;
na
Mungu akuinulie uso wake kila unaposali;
na
Mungu akupe amani ipitayo akili za wanadamu katika Jina la Yesu.

Mwisho, tuseme 🗣 #AMEN na itapendeaza ukiandika ✍ "AMEN".
karibu shujaa, Tuko wengi humu watoto wa baba ila tumevaa Mask!
 
BWANA ASIFIWE ............. !

Najitambulisha kwenu wana JamiiForums kwamba ni mgeni wenu.
Natarajia mapokezi na ushirikiano kama mwanajamii mzee lakini kijana katika jukwaa !

Mimi nina mke mmoja mpaka kifo, na nina watoto wa kiume na kike katika familia niliyojaliwa, na Mungu aliyemwumba mwanadamu na kumwambia " Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi; baada ya kuwabariki. "

Basi niseme haya kwa kila anayesoma ujumbe huu:-
Mungu akubariki kwa baraka zote za rohoni na mwilini;

na
Mungu akukulinde kila uingiapo na kutoka;
na
Mungu akungazie nuru za uso wake wakati wote;
na
Mungu akufadhili sawa na haja ya moyo wako;
na
Mungu akuinulie uso wake kila unaposali;
na
Mungu akupe amani ipitayo akili za wanadamu katika Jina la Yesu.

Mwisho, tuseme 🗣 #AMEN na itapendeaza ukiandika ✍ "AMEN".
Sawa mgeni mtiifu.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom