Mwl Mwakujonga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 286
- 582
Utangulizi
Mungu alipomuumba mwanadamu katika vitu ambavyo alimwekea mwanadamu kumiliki na kutawala ni pamoja na Ardhi
Mwanzo 1:28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Neno Nchi Kibiblia ni Ardhi yenye mipaka Halali , ndio maana baada ya dhambi kuingia ulimwenguni adhabu ambayo alipokea mwanadamu ni pamoja na kwenye Ardhi, kwamba Ardhi itakuwa shaba kwako maana Ardhi haitatoa mazao Kwa ajili ya mwandamu
Mwanzo 3:17 Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;
Kutokana na dhambi Ardhi iliingia katika laana, na neno laana kwa Biblia ni kinyume cha kubarikiwa kwa hiyo kile ambacho Mungu alikusudia kikuzalia matunda kutoka kwenye Ardhi hakitakuzalia matunda
Kuna uhusiano gani Kati ya Ardhi na Maisha yangu
A. kutunza kumbukumbu (tape recorder )
Ardhi imepewa nafasi katika ulimwengu wa Roho kutunza taarifa za mwanadamu
Kumbukumbu la Torati 31:28 Nikutanishieni wazee wote wa kabila zenu, na maakida yenu, ili niseme maneno haya masikioni mwao, na kuwashuhudizia mbingu na nchi juu yao.
Tafsri ya kiingeleza ya Mstari huu inasema kwamba Ardhi itunze kumbukumbu ,kwa hiyo Maisha yote ya Mwanadamu yameandikwa katika Ardhi.
B. Kuwa Shahidi
Ukiwa na kesi mahakamani ili uweze Kushinda kesi yako ni lazima kuwa na ushahidi kwa hiyo Ardhi Mungu anaitumia Kwa ajili ya kumbaliki mwanadamu na shetani anaitumia Kwa ajili ya kumlaani mwanadamu.
Kumbukumbu la Torati 4:26 nawashuhudizia mbingu na nchi hivi leo, kwamba karibu mtaangamia kabisa juu ya nchi mwivukiayo Yordani kuimiliki, hamtafanya siku zenu ziwe nyingi juu yake, ila mtaangamizwa kabisa.
I call heaven and earth to witness against you this day, that ye shall soon utterly perish from off the land whereunto ye go over Jordan to possess it; ye shall not prolong your days upon it, but shall utterly be destroyed.
Mungu anatumia Ardhi kama Shahidi, kazi ya Shahidi ni kukutetea au kukufunga kwa hiyo unaweza kuwa na Maisha mazuri Sana lakini Ardhi unayokaa iko chini ya laana kuna vitu ambavyo Mungu anataka kukubaliki hautaviona
C. Ardhi ni Mahakama ya Mungu
Mungu anapotaka kuleta hukumu Kazi ya hukumu ni kutenga Mwenye haki kupewa haki yake na ambaye Hana haki kupewa hukumu , Kwa hiyo Mungu anapotaka kukupa Haki yako kama MTU wa Mungu anakuja kama hakimu na Ardhi inakuwa ni mahakama
Zaburi 50:4 Ataziita mbingu zilizo juu, Na nchi pia awahukumu watu wake.
D.Majibu ya Maombi
Umeshajiuliza kwanini ukiwa nyumbani ukitaka kusoma Biblia au kuomba unapata usingizi , au unapiga miayo Tu , ujue kwamba Ardhi unayokaa iko chini ya utawala wa madhabahu ya Miungu migeni
Ufunuo wa Yohana 8:4-5
[4]Na moshi wa ule uvumba ukapanda mbele za Mungu pamoja na maombi ya watakatifu, kutoka mkononi mwa malaika.
.
[5]Na huyo malaika akakitwaa kile chetezo, akakijaza moto wa madhabahu, akautupa juu ya nchi, kukawa radi na sauti na umeme na tetemeko la nchi.
Mungu anapojibu maombi yanatumwa katika nchi/ Ardhi
na kwakuwa Ardhi na mbingu zinafanya kazi Kwa pamoja unapokea majibu yako
E. Ardhi na Mbingu kufanya kazi pamoja
Ardhi na mbingu zinafanya kazi Kwa pamoja , Ardhi ikiwa upande wako na mbingu pia kadharika pia Ardhi ikiwa kinyume chako na mbingu pia.
Mwanzo 1:1Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
In the beginning God created the heaven and the earth.
Mungu alipomuumba mwanadamu katika vitu ambavyo alimwekea mwanadamu kumiliki na kutawala ni pamoja na Ardhi
Mwanzo 1:28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
Neno Nchi Kibiblia ni Ardhi yenye mipaka Halali , ndio maana baada ya dhambi kuingia ulimwenguni adhabu ambayo alipokea mwanadamu ni pamoja na kwenye Ardhi, kwamba Ardhi itakuwa shaba kwako maana Ardhi haitatoa mazao Kwa ajili ya mwandamu
Mwanzo 3:17 Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;
Kutokana na dhambi Ardhi iliingia katika laana, na neno laana kwa Biblia ni kinyume cha kubarikiwa kwa hiyo kile ambacho Mungu alikusudia kikuzalia matunda kutoka kwenye Ardhi hakitakuzalia matunda
Kuna uhusiano gani Kati ya Ardhi na Maisha yangu
A. kutunza kumbukumbu (tape recorder )
Ardhi imepewa nafasi katika ulimwengu wa Roho kutunza taarifa za mwanadamu
Kumbukumbu la Torati 31:28 Nikutanishieni wazee wote wa kabila zenu, na maakida yenu, ili niseme maneno haya masikioni mwao, na kuwashuhudizia mbingu na nchi juu yao.
Tafsri ya kiingeleza ya Mstari huu inasema kwamba Ardhi itunze kumbukumbu ,kwa hiyo Maisha yote ya Mwanadamu yameandikwa katika Ardhi.
B. Kuwa Shahidi
Ukiwa na kesi mahakamani ili uweze Kushinda kesi yako ni lazima kuwa na ushahidi kwa hiyo Ardhi Mungu anaitumia Kwa ajili ya kumbaliki mwanadamu na shetani anaitumia Kwa ajili ya kumlaani mwanadamu.
Kumbukumbu la Torati 4:26 nawashuhudizia mbingu na nchi hivi leo, kwamba karibu mtaangamia kabisa juu ya nchi mwivukiayo Yordani kuimiliki, hamtafanya siku zenu ziwe nyingi juu yake, ila mtaangamizwa kabisa.
I call heaven and earth to witness against you this day, that ye shall soon utterly perish from off the land whereunto ye go over Jordan to possess it; ye shall not prolong your days upon it, but shall utterly be destroyed.
Mungu anatumia Ardhi kama Shahidi, kazi ya Shahidi ni kukutetea au kukufunga kwa hiyo unaweza kuwa na Maisha mazuri Sana lakini Ardhi unayokaa iko chini ya laana kuna vitu ambavyo Mungu anataka kukubaliki hautaviona
C. Ardhi ni Mahakama ya Mungu
Mungu anapotaka kuleta hukumu Kazi ya hukumu ni kutenga Mwenye haki kupewa haki yake na ambaye Hana haki kupewa hukumu , Kwa hiyo Mungu anapotaka kukupa Haki yako kama MTU wa Mungu anakuja kama hakimu na Ardhi inakuwa ni mahakama
Zaburi 50:4 Ataziita mbingu zilizo juu, Na nchi pia awahukumu watu wake.
D.Majibu ya Maombi
Umeshajiuliza kwanini ukiwa nyumbani ukitaka kusoma Biblia au kuomba unapata usingizi , au unapiga miayo Tu , ujue kwamba Ardhi unayokaa iko chini ya utawala wa madhabahu ya Miungu migeni
Ufunuo wa Yohana 8:4-5
[4]Na moshi wa ule uvumba ukapanda mbele za Mungu pamoja na maombi ya watakatifu, kutoka mkononi mwa malaika.
.
[5]Na huyo malaika akakitwaa kile chetezo, akakijaza moto wa madhabahu, akautupa juu ya nchi, kukawa radi na sauti na umeme na tetemeko la nchi.
Mungu anapojibu maombi yanatumwa katika nchi/ Ardhi
na kwakuwa Ardhi na mbingu zinafanya kazi Kwa pamoja unapokea majibu yako
E. Ardhi na Mbingu kufanya kazi pamoja
Ardhi na mbingu zinafanya kazi Kwa pamoja , Ardhi ikiwa upande wako na mbingu pia kadharika pia Ardhi ikiwa kinyume chako na mbingu pia.
Mwanzo 1:1Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
In the beginning God created the heaven and the earth.