Corluka Neven
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 300
- 276
Duuu maana nilivyo amka nikasali kisawa sawa!!! Vipi na ukiota upo madhabahuni mbele unapangalia tuu??Mchwa ni wadudu waharibifu lakini wakifanywa chakula wana vitamin nyingi... Kuna baadhi ya ndoto huwa na tafsiri kinyume
Hapo kuna maana ya kupata pesa ama kupitia magumu mengi
Jr
Sent using Jamii Forums mobile app