Ramark
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,989
- 1,450
Biblia haisomwi kwa mstari au kitabu bali inasomwa pamoja yaani yote,Ramark Bible ni kitabu chenye ufunuo wa ki Mungu ndio maana ili ukisome vizuri na kukielewa angalau nusu yake inahitaji miaka mine... Ukiwa mtu wa kudonyoa donyoa tu vifungu kuna mahali hutapaelewa
Jr[emoji769]
Kunawakati huko nyuma watu walikuwa wanaota na kutoa tafsiri za ndoto kama sisi leo hasa kule misri na hata wayaudi walipokuwa jangwani hata kaanani lakini walikanywa na katika mafundisho waliyoshika wayaudi ni hili na kwa moyo wa ibada, tazama vitabu vya vingine uliacha vile vinavyoeleza maisha ya misri, jangwani na kaanani awali hayajitokezi na kuzungumzwa katika vitabu vya mbele vilivyotangulia vile vya awali,
Ni kawaida Mungu katika kufundisha kwa historia iliyomo kwenye biblia alibadilisha mafundisho yaani kutoka simple to complex, pia hata ybn sira sura 2:28 wazee wenu wataota ndoto na vijana watapato maono( visio) je ilikuwa inaruhusu ndoto na mbeleni apinge?
Hapana, tujiulize wazee wanaozungzwa ni akina nani? Jibu: manabii na makuhani
Ambao pia Mungu ni mfumo anaoutumia mpaka kwenye kitabu cha Ufunuo kwa kutoa ndoto kwa Yohana ambao leo tunauita ufunuo au ndoto ya kimungu
Biblia hata ukisoma miaka 10 bila uvuvio wa Mungu huwezi elewa lkn isome kwa kicho pamoja na usaidizi wa tamaduni za jamii inayozungumwa( tabia, vitu, mifugo, lugha, circumstances nk ) angalau itakupa mwelekekeo wa mafundisho
Ndoto tumekatazwa kuzitafsiri na kuziami