How can I start it sir, I tried it but woga unakua mwingiMeditation
Jr[emoji769]
Meditation in your daily routine - JamiiForumsHow can I start it sir, I tried it but woga unakua mwingi
Kuna dada yangu ameota ametumbukia chooni!!!inaamana gani hii ndotoTafsiri ya madhabahu ni imani lakini pia madhabahu ni sehemu ya kutoa sadaka.. Imani yako ikoje? Matoleo yako je?
Jr[emoji769]
Kanusurika kifoKuna dada yangu ameota ametumbukia chooni!!!inaamana gani hii ndoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana na hatokagi?? Au inamaana atanusurika baadae au itakuajeKanusurika kifo
Jr[emoji769]
Duuu hapo maombi yanaitajika kwakweliKifo humfuata mtu popote...
Jr[emoji769]
Ulitaka kupigana vita isiyo yako lakini inayohusika nawe kwa namna moja au nyingine
Ukishaona hospital imeshindikana ujue ni tatizo la kiroho! Hapo ni Yesu tu ndo anaweza kutatua hilo!huna namna na uwe makini! Usije ishia kwenye nguvu za giza bure wakakuongezea matatizo!Mkuu, mara kadhaa nimekuwa nkiota nna bleed ilihali sipo kwenye bleed.. na nkiamka asubuhi najikuta nna dalili zote za kubleed ila sipati bleed..
Yani nmekua nkisumbuliwa pia na tatizo la kukosa hedhi... naweza kukaa miezi hadi minne sjableed.. nmehudhuria sana hospitalini kwa madaktari bingwa wa magonjwa ya kina mama, nmepima kila kitu ila majibu yanakuja npo vizuri tu...
Ndoto hizi zinanitesa sana mkuu nini tafsiri yake[emoji29][emoji29][emoji29]
Mmh!Kuna dada yangu ameota ametumbukia chooni!!!inaamana gani hii ndoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua nimekuja jua kuwa watu wengi hasa wakristo hawajui kuwa 'ndoto'ni mlango! Mungu huwa anautumia kusema na watu na shetani anautumia kupanda vitu vyake km magonjwa,uharibifu,hata kufanya maagano nk.Aisee kuna siku niliwahi kuota ndoto mdudu kaniingia sikioni na nilipikuja kuamka mwezi mzima sikio lilinisumbua saana lilikua likiuma mnooo na mpaka nikawa nahisi kuna kitu kimeniingia kweli. Ila likaja kutulia mpaka leo sikumbuki ni nini kilitokea kwenye ndoto ile Mshana Jr[/USER]
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasoma biblia? Yaani Mungu aseme kipo we useme ni uongo?Mshana Jr ndoto ni uongo na kuamini kisichokuwepo sawa na utabiri wa nyota kwa nini tuendelee kutoa maelezo ya jambo lisilo na uhalisia au just for coincidence in real life
Ukiamini ndoto unaamini hakuna Mungu
Hii ya kuota upo shule inahitaji maelezo marefu nitairudia!Mshana nasumbuliwa na hizi ndoto
1.kuota mara kwa mara nipo shule ya msingi nafanya mtihani na classmates wenzangu ambao nilisoma nao miaka zaidi ya 15 iliyopita wakati tayari nmeshamaliza chuo.
2.Kuota nakula vyakula mbalimbali ila si nyama
3.Kuota nakimbizwa na Simba,au mtu(watu) wenye hasira kali
4. Mara kadha natokewa na rafiki ambaye sasa ni marehemu.
5.Mara nyingi naota nipo chini ya mwembe mkubwa nikiwa na rafiki zangu wa utotoni,tukiwa tunachuma maembe. Wakati mwingine tukiwa juu ya mti Simba hutokea chini ya mti na kuanza kupanda kutufuata,lakini hunifuata hasa mimi mwisho naishia kushituka.
5.Mara chache pia huwa naota niko kwenye uwanja wa vita nikiwa na wanajeshi wengi.
Najitahidi kuomba kila ninapolala lakini baada ya mda inajirudia tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto unayoiona kwa mungu kwenda kwa mwanadamu tunauita ufunuo ( ufunuo wa mungu kupitia ndoto)Unasoma biblia? Yaani Mungu aseme kipo we useme ni uongo?
Soma habari za Yusufu,Daniel,Nebkadreza,Farao,Suleiman,Yusufu aliyemuoa Marian aliyemzaa Yesu soma maishabya Yesu kabla hajazaliwa mpk kuzaliwa! Ipo mifano mingi!
Ndoto ni uhalisia sio uongo!
Ila tu ndoto ina vyanzo ,na kwenye vyanzo hapa ndo shida ilipo!
Vyanzo ,Mungu mwnyewe,Shetani,mawazo/kazi(shughli)nyingi,hali ya kiroho ya mahali unapolala!
Ndoto ni mlango ambao Mungu anautumia kusema na mwanadamu!
Ayubu 33:14-17
Na mwenye kufasiri ndoto ni Mungu mwenyewe,kwa uweza wa Roho Mtakatifu! Yaani kuna watu waliopewa hiyo karama ya kufasiri Mungu sio kila mtu wengine watakudanganya tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni majani ya aina gani? Kwakuwa kila jani lina tafsiri ganiKuota nyumba niliyokua naishi zamani na pashaota majani ndoto hii inamaana gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishawahi kupoteza nguo ya ndani? Kwenye ukoo wenu kuna ndugu hampatani? Je kuna rafiki mlishawahi kutofautiana pakubwa?Mkuu, mara kadhaa nimekuwa nkiota nna bleed ilihali sipo kwenye bleed.. na nkiamka asubuhi najikuta nna dalili zote za kubleed ila sipati bleed..
Yani nmekua nkisumbuliwa pia na tatizo la kukosa hedhi... naweza kukaa miezi hadi minne sjableed.. nmehudhuria sana hospitalini kwa madaktari bingwa wa magonjwa ya kina mama, nmepima kila kitu ila majibu yanakuja npo vizuri tu...
Ndoto hizi zinanitesa sana mkuu nini tafsiri yake[emoji29][emoji29][emoji29]