Naota sana ndoto za aina hii.kiroho siko vizuri. Kama juzi nimeota niko sehemu kuna watu wengi kama stendi hivi mara akatokea kichaa spidi watu wakawa wanapiga mayowe,kuangalia vizuri ananifwata mimi kwa hasira akanirushia ngumi nikakwepa sasa katika kukwepa nikateleza nikaanguka chini hapo akanipiga 'buti la mbavu' moja nikaokota jiwe akaanza kukimbia...sasa cha ajabu asubuhi naamka mbavu zinauma palepale nilipopigwa ndotoni!
Nishaombewa sana bila mafanikio hadi inafika wakati mtu unakata tamaa hata kanisani siendagi tena!☹
Nishaombewa sana bila mafanikio hadi inafika wakati mtu unakata tamaa hata kanisani siendagi tena!☹