Mkuu ndoto zangu mara nyingi ni kuota mtu amekufa,mda mwingine kweli siku hiyo nitasikia amekufa,mara nyingi naota naongea na watu waliotutangulia mbele ya haki, mara nakimbizwa na mengine ya ajabu mengi,kwakweli huwa nakosa mpaka amani moyoni kuhusu hizi donto nashindwa kuziepuka!
Hebu tuwasiliane PMMkuu mda mwingine naota kama nafukuzwa lakini mara nyingi huwa natesaka sana siwezi kufumbua macho najikuta nahangaika tu hiyo hupelekea nikiamka asubuhi nipo hoi na tumbo linakuwa linaumwa kama nimevimbiwa flani
Hili sio tangazo la biashara,waka sina ruhusa ya kufanya hivyo...Haya matangazo ya biashara ulishayalipia kwa mods?
Mmh ukisikia ndoto tata ndio hizi ila ndoto nyingi tafsiri yake huja kinyume... Hivyo hayo yote uliyoota yapindue katika kinyume chakeHebu nitafisirie ndoto hii niliyoiota.
Nimeota nipo na Mh Rais,katika ndoto nilikuwa mtu wake wa karibu. Nilimwona alikuwa na nia njema na Mwenye uchungu na watanzania,lakini Watu wenye nia mbaya walikuwa wakikwamisha jitihada zake,alikuwa anakuwa mnyonge sana,anaumia sana mpaka kuugua. Nilimwonea huruma sana. Alihuzunika sana. Ufitini aliokuwa Mkuu anafanyiwa uliniuma sana.
Niliamka na kushtuka kweli sikuwa na Amani.
Maisha nikayakuta kama kawa yamebana,wadogo zangu wamegraduate hawana ajira,Mke Wangu amepanda vyeo lakini mshahara haibadiliki,tena Toka hii awamu ianze na walishawahi andikiwa barua upya baada ya kuandikiwa upya barua za kupanda vyeo bila sababu na kupoteza madai yao .
Kwa ujumla silikubalini na mambo haya.
Mshana hii ndoto imekaaje? Imeniconfuse!
Nadhani kuna mada yake.. Hebu ngoja niitafute ila pia walambishe ndimu ndoto za kula na kujitafuna zitakoma.. Between ndoto ni sehemu muhimu kwa afya ya akili na makuzi ila ziwe ni ndoto halisi na sio zile zinazotokana na matendo mabovu ya kibinadamuMshana wanangu wanaota kula siku tena sometimes wanaota wanaongea but also uamka na kusimulia alivyoota.
Nini sàbàbu kama
Aseee ileee ndoto bado inarudi ya 264
Nadhan itatimiaaaa
Seriously
Usiku wa Leo nilipitiwa na usingiz nimeota mshana ka hackiwa accnt na wasiojulikana!!
Also nikaota nambinu wanayotumia kupata access
At the end nikasikia kama saut inanionya niwe MAKINI na michango huku jamvjni
View attachment 421080Ni usiku mwingine tena tunapojiandaa kupumzika vitandani mwetu ( hata kama ni ugenini gesti house au barabarani kuna dakika chache utalala kidogo na kuota)
Ndoto njozi na kuota ni hitaji la kawaida la mwanadamu, shida ipo ni je unaona ndoto za aina gani?
-unaota ndoto za kawaida kutokana na harakati za kawaida za kimaisha kutokana na fikra mawazo matendo na maono?
-Ama la unaota ndoto taarifa au ndoto ujumbe au ndoto maono? Ndoto zenye ujumbe maalum?
- Au je unaota zile ndoto zile ambazo si ndoto bali ni matendo ya giza? Ndoto za
Kuota umelazwa kwenye jeneza
Kuota unazama/unazamishwa baharini
Kuota unakula/unalishwa nyama
Kuota unang'atwa na mdudu na unapata maumivu mpaka asubuhi
Kuota unakimbizwa au kufukuzwa
Kuota umefungiwa kwenye kiota chupa nk
Ndoto zote hizi huwa live mpaka asubuhi au unapostuka na unakumbuka kila kitu saa nyingine hata uchovu maumivu na Ladha....!
Ndoto za namna hii si ndoto za kawaida na huambatana na mambo yako mengi kuharibika! Hizi ni ndoto za kufanyiwa mambo mabaya na watu wabaya
Ukiweza jitahidi kuchunguza ndoto zako leo na siku zijazo utagundua kitu View attachment 421088
Sure mdau!
Sawa...tuongelee future thoughts and actions....kwann uote kitu usichokijua, kukiona au kukiexperience.....? Hapo ndipo ugomvi wangu ulipo. Kuna uhusiano upi kati ya ndoto na vitu Mungu alivyoviumba visivyoonekana?Vague memories of our speech, thoughts and actions of past present n future
Nafikiri hujanipata vema... Iko hivi kila mtu ana ndoto za kuwa fulani katika maisha, kumiliki vitu fulani, kufikia kiwango fulani cha elimu nkSawa...tuongelee future thoughts and actions....kwann uote kitu usichokijua, kukiona au kukiexperience.....? Hapo ndipo ugomvi wangu ulipo. Kuna uhusiano upi kati ya ndoto na vitu Mungu alivyoviumba visivyoonekana?