Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,491
Zamani hii nembo ilibaki hata baada ya sabuni kuisha. Lakini siku hizi nembo inaaanza kutoka na kuiacha sabuni bila jina la brand? Au gundi zimepanda bei?🤣🤣
Pole, mimi huwa nanunua na hazibanduki, ni moja ya sabuni zangu pendwaZamani hii nembo ilibaki hata baada ya sabuni kuisha. Lakini siku hizi nembo inaaanza kutoka na kuiacha sabuni bila jina la brand? Au gundi zimepanda bei?
View attachment 2212384
Mimi hua nabandua.Zamani hii nembo ilibaki hata baada ya sabuni kuisha. Lakini siku hizi nembo inaaanza kutoka na kuiacha sabuni bila jina la brand? Au gundi zimepanda bei?🤣🤣
View attachment 2212384
Mkuu una paja na mikono laini sana.Zamani hii nembo ilibaki hata baada ya sabuni kuisha. Lakini siku hizi nembo inaaanza kutoka na kuiacha sabuni bila jina la brand? Au gundi zimepanda bei?
View attachment 2212384
Gani hizo?Hizo feki japo kwa sabuni za kuogea kwa sasa wa Ivory Coast naona wana sabuni bora kabisa
Kwani waliotengeneza hizo sabuni wanasema hiko kidubwasha tusikibandue.
Geisha na Emperial zilikuwa zinatoka kenya sio?Zamani hii nembo ilibaki hata baada ya sabuni kuisha. Lakini siku hizi nembo inaaanza kutoka na kuiacha sabuni bila jina la brand? Au gundi zimepanda bei?
View attachment 2212384
Hizo imperial Leather tokea miaka ya 80 zilikuwa sabuni pendwa za familia, nyingine ni Lifebuoy.Zamani hii nembo ilibaki hata baada ya sabuni kuisha. Lakini siku hizi nembo inaaanza kutoka na kuiacha sabuni bila jina la brand? Au gundi zimepanda bei?🤣🤣
View attachment 2212384
Mbona mimi chata linabaki mpaka mwisho? Angalia unaponunua.