nilichokiona rais hakuja kuhutubia bunge ama kuzindua bali alikuja kumjibu Warioba na kuonyesha msimao wa ccm.nilitarajia yy kama kiongozi wa nchi kutoonyesha upande bali jukumu lingeeachwa kwa wajumbe kulumbana kwa hoja ili kutupa katiba ya kuwafaa watanzania