Hizi ndizo Shule za Bongo. Baab Kubwaa

Hizi ndizo Shule za Bongo. Baab Kubwaa

Na hizi mbona huzioneshi?
23315_135265626515297_7145_n.jpg


hii ya vifisadi vichache pale sinza meso palestina.jee kwa watanzania wengi mbezi luis,chanika hali ni hiyo hiyo?
 
Tumejakuwa viongozi wazuri kutokana na kusoma kwenye hizo shule.
 
Darasa letu katika karne ya 21 na miaka 50 ya kujitawala





Faiza Fox, Mwita25,Rejao mnaona tukisema sisi tunakuwa wanafiki, hapo hujapelekwa Kilindi kwa Mhs Betty Sherukindo!!!!!!!!!!!
[h=2]
icon1.png
Hizi ndizo Shule za Bongo. Baab Kubwaa[/h]
67220_161825253842041_100000437012547_421946_686532_n.jpg


68405_161258213898745_100000437012547_419481_8205957_n.jpg





progress.gif




 
Nashauri picha hizo zitumike kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wetu
 
Hizi shule zinapatikana sana maeneo ya vijijini, kwa maoni yangu mi naona zinawafaa kwa sababu ni matokeo ya kura zao kwa kijani. Cha muhimu wawe wazalendo tu na hali hiyo mpaka watakapoamka.
 
kasi mpya kasi mpya ......................
 
Miaka 50 ya uhuru "Tumethubutu, Tumeweza".....Lol...
 
Shule za Bongo ktk Karne ya 21,





Hii ni Shule ya Msingi Ilala iliyopo Iringa Mjini ni mita 400 tu toka Afisi ya ARASII, ina wanafunzi 685 wanaokaa chini ni 48



nafikiri hapo wanaokaa katika madesk ni 48 waliobaki wanakaa chini
 
Bongo ndivyo ilivyooooo
 

Attachments

  • 31093_1461582740246_1253767086_1370196_3993922_n[1].jpg
    31093_1461582740246_1253767086_1370196_3993922_n[1].jpg
    100.9 KB · Views: 240
Ngoja tuicheck kwa ukubwa zaidi,checkini watoto na madarasa yao!!!21st century
 
Hiyo frog squats ilikuwa kama kawa enzi hizo twasoma. Yaani all I can say, child abuse is very much popular in schools.
 
Kha! sasa huyo dogo hapo wa kwanza kushoto picha ya chini anafuatiliaje masomo jamani


Wewe umeliona la huyo Dogo kutofuatilia masomo , Lakini Mwalimu anaendelea bila wasiwasi na wala hajaona tatizo
 
[class reproduce by itself. sorry ivi tunagemea mtoto kutoka katika hizi shule aje akawe waziri.




[/QUOTE]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom