Hizi ndizo kazi kubwa 3 za Mbunge wa Tanzania.

Hizi ndizo kazi kubwa 3 za Mbunge wa Tanzania.

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,143
Reaction score
56,407
1. Kumsifia Rais.
2. Kuitetea Serikali, na ya mwisho ni,
3. Kujipanga kurudi tena bungeni ili kutekeleza no. 1 & 2.

Hawana kazi nyingine zaidi ya hizo, mbwembwe zote mnazoziona zipo kwenye cycle hiyo.

Usipotekeleza no. 1, hurudi bungeni. Straight RED card.

Usipotekeleza no. 2 huwezi kujipanga kurudi bungeni. YELLOW card.

Kama hatutakuwa serious na NRNE tunatakiwa tuizoee hii hali hadi kipindi cha akina Musukuma na kina Bajaji kiondoke.
 
Mgawanyo wa madaraka nyumbani kwetu uko poa kabisa wazungu wanasema checks and balance imetulia no problem, mwenye wivu ajinyonge
 
Back
Top Bottom