Hizi nafasi za kazi za PAPU zinazopitia TCRA hazina infomation za kutosha rekebisheni

Hizi nafasi za kazi za PAPU zinazopitia TCRA hazina infomation za kutosha rekebisheni

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,831
1757937823860.png



Angalia kiunga hapo juu kuhusu hizi nafazi za Pan African Postal Union (PAPU) zinaonekana kabisa ni mpunga mrefu maana ni P3 na P4, maombi inabidi yapitie TCRA, hata hivyo tangazo la TCRA halina namna ya kupata infomation za nafasi hizi.

Kila kiunga unachoofya unakutana na kiunga ambacho hakina taarifa yaani viunga vinajirudia vile vile. TCRA wekeni taarifa sawa watu wajue hizo nafasi zinataka mtu kwa sifa gani. Kama ni nafasi za government officer tu msingezipost.

1757938029673.png
 
Hazina details za kutosha makusudi hawataki muapply washawapa watu wao hili tangazo ni geresha tu.
 
Hazina details za kutosha makusudi hawataki muapply washawapa watu wao hili tangazo ni geresha tu.
Unakuta hata watu hawana basi tu ni kukosa uweredi na mapuuza kwa watumishi wa umma wao uona watanzania wengine wakipata watafaidi sana sasa wanaweka weka tu vitu irimradi unaweza kuta nchi za wenzetu tangazo kama hili wizara au taasisi inawasaidia kabisa raia wao kuapply kwa usahihi ila hapa bongo sahau..
 
Unakuta hata watu hawana basi tu ni kukosa uweredi na mapuuza kwa watumishi wa umma wao uona watanzania wengine wakipata watafaidi sana sasa wanaweka weka tu vitu irimradi unaweza kuta nchi za wenzetu tangazo kama hili wizara au taasisi inawasaidia kabisa raia wao kuapply kwa usahihi ila hapa bongo sahau..

Kwenye kuchangamkia fursa bongo bado sana. Nchi ya kipumbavu sana hii.
 
Unakuta hata watu hawana basi tu ni kukosa uweredi na mapuuza kwa watumishi wa umma wao uona watanzania wengine wakipata watafaidi sana sasa wanaweka weka tu vitu irimradi unaweza kuta nchi za wenzetu tangazo kama hili wizara au taasisi inawasaidia kabisa raia wao kuapply kwa usahihi ila hapa bongo sahau..
Dah nimecheka sana
 
Back
Top Bottom