platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,530
Madame B dear... Hii kazi umenipa ya kujaza ukumbi NIMEGOMA! Nitashiriki vipi kwenye sherehe yako bila kuwajibika lolote?
Dennize karibu sana JF na ujisikie upo sehemu ya kukutia amani wakati woote. Naona una pages za wapokeaji... Pamoja sana.
Umeona eeh! yaani huu ni pure uchonganishi, lol! Erickb52 njoo ujibu hoja hukuErickb52 kwanza awali ya yote napenda nikutoe hofu kuwa mimi mzima na Kitchen Party yangu ni Jmosi hii.
FP ndio Mpambe wangu,
gfsonwin ni Kungwi wangu,
Mamndenyi ni MC
snowhite, charminglady, mwaJ,
King'asti,
sweetlady,
FirstLady1,
beibe nasty,
Kijino,
Ciello,
Blaki Womani,
marejesho,
Kongosho,
AshaDii,
Preta,
Arabela,
LARA1,
Graca na
measkron ndio wajaza Ukumbi.
Sasa tangu lini Mpambe wangu akanipa sumu?
hahaha! Haya Asante... Utume memo ya zawadi unahitaji, niseje leta ikawa duplicate.
Hahahahaaa Mr Rocky mwambie huyo Kaizer awasiliane na King'asti anataka kufundishwa kujamiiana lol yuko na wenzake kama saba hivi so naomba utaenda nae kumsaidia kipindi ya Practical coz atazidiwa sana
Heheheheee kwani kungwi hana sumu?Erickb52 kwanza awali ya yote napenda nikutoe hofu kuwa mimi mzima na Kitchen Party yangu ni Jmosi hii.
FP ndio Mpambe wangu,
gfsonwin ni Kungwi wangu,
Mamndenyi ni MC
snowhite, charminglady, mwaJ,
King'asti,
sweetlady,
FirstLady1,
beibe nasty,
Kijino,
Ciello,
Blaki Womani,
marejesho,
Kongosho,
AshaDii,
Preta,
Arabela,
LARA1,
Graca na
measkron ndio wajaza Ukumbi.
Sasa tangu lini Mpambe wangu akanipa sumu?
Kaizer anaifahamu hiyo issue ila kaambiwa na King'asti asitie pua huko maana haimhusu
King'asti alinipa kazi ya kumfundisha kujamiiana ila nimekomaa nae wiki ya pili sasa hata haelewi kabisa nashangaa ni kwanini tena eti theory anaelewa sana ila tukienda kwenye practical anashindwa kuelewa sasa sijui ndio ujanja wa kuendelea na masomo kwa muda usiojulikana Dah
umeiona hii Madame B? jana tu tulikuwa tunasema hatujasuta mtu siku nyingi, unaona anajileta msutwaji?
Hahahaaa mimi sina kesi nilishaongea na Ruttashobolwa akanisaidia kuzifuta zoteWanipoteze wakati nitakuwa na ma-Bodyguard wangu akina The secretary na AmKATRINA bila kumsahau Mama Ngina?
Afu unakumbuka kama nina kesi na wewe?
Wewe na Nicas Mtei,
au mnajifanya mmesahau.
King'asti alinipa kazi ya kumfundisha kujamiiana ila nimekomaa nae wiki ya pili sasa hata haelewi kabisa nashangaa ni kwanini tena eti theory anaelewa sana ila tukienda kwenye practical anashindwa kuelewa sasa sijui ndio ujanja wa kuendelea na masomo kwa muda usiojulikana Dah