HiY

HiY

umeiona hii Madame B? jana tu tulikuwa tunasema hatujasuta mtu siku nyingi, unaona anajileta msutwaji?
Hehehehee FP naona mna hamu ya kulambwa ban eeeh?
Hebu jaribuni kunisuta muone itakavyokula kwenu...yan ban ya wiki nzima itawahusu kwa mpigo hadi jukwaa la chutchat lifungwe
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa mimi sina kesi nilishaongea na Ruttashobolwa akanisaidia kuzifuta zote
Hao bodigadi wako hata hawana lolote wakituona wanaanza kurembua utadhani wanausingiizi kumbe uchu wa kuwa na sisi lol hata hawatakumbuka kuwa wanakulinda wewe

Thubutu.
Nawaamimia.
Hawashobokeagi Wanaume Masharobaro.
 
Last edited by a moderator:
Hehehehee FP naona mna hamu ya kulambwa ban eeeh?
Hebu jaribuni kunisuta muone itakavyokula kwenu...yan ban ya wiki nzima itawahusu kwa mpigo hadi jukwaa la chutchat lifungwe

Ahh wapi!!
Tunaenda wote Segerea.
 
Last edited by a moderator:
Heheheheee hapa ndio mambo yote meeen hakuna kuwaza watoto wala mke mambo yote kwenye touch Madame B

Nenda kule LV Connect kuna mtu anatafuta wa kumlea.
Kama mambo yako mpera mpera,kapige turufu yako meeeen.
Ukalelewe meeen!!
 
Last edited by a moderator:
mmmh naona wakubwa wametawala jukwaa leo ngoja nijibanze pemben nile chabo!
 
Hehehehee FP naona mna hamu ya kulambwa ban eeeh?
Hebu jaribuni kunisuta muone itakavyokula kwenu...yan ban ya wiki nzima itawahusu kwa mpigo hadi jukwaa la chutchat lifungwe
he he heeeeeeeeeee, yaani hatuogopi cha mod wala nani, ukileta za kuleta unasutwa tu
 
Back
Top Bottom