HiY

HiY

jamani huyu Dennize katokea Planet gani ? mbona kapokelewa kama msafara wa Dr ,,,ops karibu sana Madame B nae kuna sherehe ...ngoja nijipange
 
Last edited by a moderator:
jamani huyu Dennize katokea Planet gani ? mbona kapokelewa kama msafara wa Dr ,,,ops karibu sana Madame B nae kuna sherehe ...ngoja nijipange

Karibu Shereheni Shost.
Tena ujipange kwelikweli mwaya.
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 kwanza awali ya yote napenda nikutoe hofu kuwa mimi mzima na Kitchen Party yangu ni Jmosi hii.
FP ndio Mpambe wangu,
gfsonwin ni Kungwi wangu,
Mamndenyi ni MC
snowhite, charminglady, mwaJ,
King'asti,
sweetlady,
FirstLady1,
beibe nasty,
Kijino,
Ciello,
Blaki Womani,
marejesho,
Kongosho,
AshaDii,
Preta,
Arabela,
LARA1,
Graca na
measkron ndio wajaza Ukumbi.
Sasa tangu lini Mpambe wangu akanipa sumu?

nimechelewa kupata mwaliko bado sherehe inaendelea nichukue bodaboda fasta
 
Back
Top Bottom