uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 19,898
- 38,591
Huyu yuda alikuwa mbabaishaji sana yaani aliwezaje kumsaliti mungu wake? Na mungu wake hakuweza kumfanya chochote kile? Huyu yuda alikuwa mbabaishaji sana
Hupaswi hata kujibiwa
Huyu yuda alikuwa mbabaishaji sana yaani aliwezaje kumsaliti mungu wake? Na mungu wake hakuweza kumfanya chochote kile? Huyu yuda alikuwa mbabaishaji sana
Walioandaa tukioNani alipanga
Mm sina dini, ila Uislamu siwezi hata kuusogeleaKumbe kiongozi una dini nimeacha kusikitika sasa 😂😂😂
Acha niendelee kusikitika 😂Mm sina dini, ila Uislamu siwezi hata kuusogelea
Tandale hakuna waisraeli MkuuWafu hadi wa huku tandale au aliwakomboa wa huko kwao tu
SanaaAlicheza na muda 😂
qspirit.net
Yuda gani na mungu ganiHuyu yuda alikuwa mbabaishaji sana yaani aliwezaje kumsaliti mungu wake? Na mungu wake hakuweza kumfanya chochote kile? Huyu yuda alikuwa mbabaishaji sana
Hahaha waislamu Hao. Hahaha hahaha, hiloo huyoo jitu jeusi lenye sijdah kuubwaa pajini kama chapati
Je hii hapo Chini hohoho kwi😆😆😆
View: https://vm.tiktok.com/ZNdPQSFGM/
adriz
Hiloo NI uislamu Unabisha nini hahaha 🤣😂Nimeamini kweli elimu ni muhimu 😃😀😄
Huyo mwalim aliyekufundisha kuwa huo ni Uislamu ni tapeli la matapeli dangote
kwa vile umeamua uwe Uislamu sawa😃😀😄Hiloo NI uislamu Unabisha nini hahaha 🤣😂
HUYO YUDA NDIO CCM WA WAKATI HUO! ALIKUWA MPIGA DILI TU HAKUJALI UTU!Huyu yuda alikuwa mbabaishaji sana yaani aliwezaje kumsaliti mungu wake? Na mungu wake hakuweza kumfanya chochote kile? Huyu yuda alikuwa mbabaishaji sana