G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 12,396
- 39,441
Mambo si mambo.
Kumbe "Yuda" alitaka kabisa bibi asiendelee na kile cheo baada ya 2025. Alijipanga kunyakua akashtukiwa ndipo bibi akapindisha mambo na taratibu za lile lichama ili kummaliza. Na yalijulikana ndani ya lile lichama ndipo team yake ikapanga waende tofauti kwa siri.
Mbaya zaidi ili kumaliza mission hiyo akampa cheo namba mbili ila mwamba-yuda kumbe hajaelewa. Bibi alidhani mwamba-yuda ataridhika
Lakini wapi. Mwamba-yuda bado anakitaka cheo.
Huko ndani kumechafuka inaonekana mawindo ni namba tatu wa Tanganyika anataka 2030 lazima awe yeye. Sasa yuda akiharibu mambo kwa sasa basi hata huyo namba tatu mpango wake utakuwa umeisha maana anautamani sana 2030. Hataki kusikia kingine. Yuda akifanikisha mission yake ngoma ni mpaka 2035 hukooo...Hapo ndo namba tatu wa Tanganyika anapozidi kuchafukwa.
Yeye yuda mambo ya kufika 2030 hataki kuyasikia na hayupo tayari. Anaweka shinikizo chini chini ili mpango wake uende vizuri.
Tutakuwepo kushuhudia mpasuko wa hilo lichama ambao naamini kwa asilimia 100 utatimia awamu hii. Hii haramu inaenda kujimaliza yenyewe.
Na Yuda anafurahi sana yale mambo ya ishirini na tisa maana ni kama yanamfanya ahalalishe mission yake.
Kumbe "Yuda" alitaka kabisa bibi asiendelee na kile cheo baada ya 2025. Alijipanga kunyakua akashtukiwa ndipo bibi akapindisha mambo na taratibu za lile lichama ili kummaliza. Na yalijulikana ndani ya lile lichama ndipo team yake ikapanga waende tofauti kwa siri.
Mbaya zaidi ili kumaliza mission hiyo akampa cheo namba mbili ila mwamba-yuda kumbe hajaelewa. Bibi alidhani mwamba-yuda ataridhika
Lakini wapi. Mwamba-yuda bado anakitaka cheo.
Huko ndani kumechafuka inaonekana mawindo ni namba tatu wa Tanganyika anataka 2030 lazima awe yeye. Sasa yuda akiharibu mambo kwa sasa basi hata huyo namba tatu mpango wake utakuwa umeisha maana anautamani sana 2030. Hataki kusikia kingine. Yuda akifanikisha mission yake ngoma ni mpaka 2035 hukooo...Hapo ndo namba tatu wa Tanganyika anapozidi kuchafukwa.
Yeye yuda mambo ya kufika 2030 hataki kuyasikia na hayupo tayari. Anaweka shinikizo chini chini ili mpango wake uende vizuri.
Tutakuwepo kushuhudia mpasuko wa hilo lichama ambao naamini kwa asilimia 100 utatimia awamu hii. Hii haramu inaenda kujimaliza yenyewe.
Na Yuda anafurahi sana yale mambo ya ishirini na tisa maana ni kama yanamfanya ahalalishe mission yake.