12 Marook
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 441
- 329
Habari za saa hizi wakuu ? Natumai mko fresh ki afya hasa ukizingalita hili kiki la dunia linavyo tupandisha pressure.
Acha nidondokee moja kwa moja, wakuu hivi hawa vijana wali fail wapi? Maana sometimes huwa naskiza tracks zao nakugundua kuwa walikuwa wazuri kuzidi hata maelezo.
Hivi hawa vijana wetu kiliwasibu nini?
Acha nidondokee moja kwa moja, wakuu hivi hawa vijana wali fail wapi? Maana sometimes huwa naskiza tracks zao nakugundua kuwa walikuwa wazuri kuzidi hata maelezo.
Hivi hawa vijana wetu kiliwasibu nini?