Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Mtu wa namna hiyo hana tofauti na anayejichubua sababu nae hataki afahamike kama ni mweusi. Ni yale yale ya kukataa ngozi, nywele, majina kifupi utumwa wa fikra
Na huo ndo ujinga [ignorance] wenyewe sasa!