pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
Hapa ndio niliona tuna laana ya kuwa na viongozi wasiojitambua kabisa na watu kama hawa kamwe hatuwezi kwenda popote!Mtu mweusi ni kama ana laana hivi, mfano juzi waziri anaulizwa hali ya uchumi anasema mambo ni shwari kwa sababu kila akitembea njiani anaona gari namba E pia watu wananchangia sana michango ya harusi, sasa kama hiyo ni akili ya mtu aliyepewa wadhifa wa kusimamia uchumi wa watu takribani milioni 60 na ni msomi wa kiwango cha Phd hao walio ishia kidato cha nne watakua na fikira gani??!! kuna maana nyingine ya laana zaidi ya hii kweli??????