Peril22
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,422
- 2,313
Mkuu hii ID yako kama ina connection na Mimi kwa mbaaali.Ni short time.
Mkuu hii ID yako kama ina connection na Mimi kwa mbaaali.Ni short time.
Zote ni hivyo hivyo tu. Epuka kutumia hivyo vitu, beba vyako kwa usalama wa afya na usafi wa mwili na roho.Shida mnalala logde za buku saba zenye kunguni ingia lodge au hotel ya laki moja na kuendelea
Au na vyenyewe atoke navyo kwake😂😂..Ila unaenda kula kwa kutumia vijiko,sahani,vikombe..na bakuli zao. Acha ujinga
Imagine!!Au na vyenyewe atoke navyo kwake😂😂..
Haamini washing machine, pasi, ataaminije dish washer, mikono ya watu😂😂😂
Anakunya kwenye mfuko anakojoa kwenye chupa kisha anatupa kwenye DustbinChoo mkuu unaenda nacho cha nyumbani
Usiseme zote mkuu, jaribu kufanya utafiti upya. Nadhani kuna mahali hujaenda kupata pumziko na ukajionea tofauti.Zote ni hivyo hivyo tu. Epuka kutumia hivyo vitu, beba vyako kwa usalama wa afya na usafi wa mwili na roho.
Mkuu sasa mbona avatar yako inatisha 😶🌫️Mkuu hii ID yako kama ina connection na Mimi kwa mbaaali.
😩😩Anakunya kwenye mfuko anakojoa kwenye chupa kisha anatupa kwenye Dustbin
Hamna mkuu, in kawaida tu boss.Mkuu sasa mbona avatar yako inatisha 😶🌫️
Vikipigwa pasi laana zote zinafutika.Kwenye maisha yangu moja wapo ya mambo ambayo waga sifanyi kabisa ni kutumia shuka na taulo za nyumba za wageni.
Kila ninaposafiri na kwenda kutumia Nyumba za wageni basi ni lazima nibebe vitu muhimu kutoka Nyumbani. Siwezi kabisa kutumia shuka za kulalia na taulo za Nyumba za wageni, kukwepa kuvitumia vitu hivyo unilazimu kubeba shuka mbili za kulalia, foronya ya mto wa kulalia, taulo zangu binafsi, mafuta, sabuni, manukato mengine n.k
Ni kwa nini sipendi kutumia shuka na taulo za Nyumba za wageni, sababu kuu ni kuona kinyaa juu ya vitu hivyo, na hili uchangiwa na haya;
Shuka na taulo kwenye Nyumba za wageni hutumiwa na watu wengi sana.
Kuepuka mikosi ya watu wengine wanayoiacha kwenye hivyo vitu.
Ufusika wa zinaa unaofanyika kwenye hizo Nyumba, unifanya niamini hivyo vitu vimenajisiwa.
Kila nikiwaza ni Watu wangapi wametumia hivyo vitu naonaga nikivitumia ni kama nasomba laana za watu.
Uchafu, kuna watu wanajisaidiaga kwenye hayo mashuka wakiwa kwenye ufusika wao. Hapa niliwahi kushuhudia hotel fulani Mwanza, mteja akitaka kupigana na muhudumu kisa yule mtu alipewa chumba, akakuta shuka zinanuka alufu mbaya sana.
Naamini hata vifuliwe kiasi gani, haviwezi kutakata kabisa.
Kutobadilishwa, kuna baadhi ya Nyumba za wageni wahudumu wenyewe uona kinyaa kutoa hizo shuka na kubadilisha, wengine wakiona hamna alama yeyote hawabadilishi kabisa.
Swali ninalojiulizaga, watu wanaotumia hivyo vitu wenyewe hawaonaga kinyaaa kabisa?
Jitahidini mnapo safiri msafiri na vitu vyenu wenyewe kutoka kwenu ili kuepuka kadhia za kubeba mikosi na laana za watu wengine.View attachment 2533865View attachment 2533875
Ata shuka lazma wafue.. Unalalaje sehemu unahisi chafu na umetoa pesa yako mkuu😂😂 au mimi sielewiiiChoo lazima wasafishe. Pili choo kina nguvu ya asili, huwezi kupata mikosi kwa kutumia choo cha watu wengi(kuthibitisha hili ukipewa kitu chochote ambacho unahisi ni kibaya au cha uchawi basi toa kidogo tumbukiza chooni, kamwe hutodhurika), labda magonjwa ya ngozi na UTI kutokana na uchafu na haya ni rahisi kuyakwepa, maana unaweza kusafisha mwenyewe then ukatumia bila shida yeyote.
Kwenye maisha yangu moja wapo ya mambo ambayo waga sifanyi kabisa ni kutumia shuka na taulo za nyumba za wageni.
Kila ninaposafiri na kwenda kutumia Nyumba za wageni basi ni lazima nibebe vitu muhimu kutoka Nyumbani. Siwezi kabisa kutumia shuka za kulalia na taulo za Nyumba za wageni, kukwepa kuvitumia vitu hivyo unilazimu kubeba shuka mbili za kulalia, foronya ya mto wa kulalia, taulo zangu binafsi, mafuta, sabuni, manukato mengine n.k
Ni kwa nini sipendi kutumia shuka na taulo za Nyumba za wageni, sababu kuu ni kuona kinyaa juu ya vitu hivyo, na hili uchangiwa na haya;
Shuka na taulo kwenye Nyumba za wageni hutumiwa na watu wengi sana.
Kuepuka mikosi ya watu wengine wanayoiacha kwenye hivyo vitu.
Ufusika wa zinaa unaofanyika kwenye hizo Nyumba, unifanya niamini hivyo vitu vimenajisiwa.
Kila nikiwaza ni Watu wangapi wametumia hivyo vitu naonaga nikivitumia ni kama nasomba laana za watu.
Uchafu, kuna watu wanajisaidiaga kwenye hayo mashuka wakiwa kwenye ufusika wao. Hapa niliwahi kushuhudia hotel fulani Mwanza, mteja akitaka kupigana na muhudumu kisa yule mtu alipewa chumba, akakuta shuka zinanuka alufu mbaya sana.
Naamini hata vifuliwe kiasi gani, haviwezi kutakata kabisa.
Kutobadilishwa, kuna baadhi ya Nyumba za wageni wahudumu wenyewe uona kinyaa kutoa hizo shuka na kubadilisha, wengine wakiona hamna alama yeyote hawabadilishi kabisa.
Swali ninalojiulizaga, watu wanaotumia hivyo vitu wenyewe hawaonaga kinyaaa kabisa?
Jitahidini mnapo safiri msafiri na vitu vyenu wenyewe kutoka kwenu ili kuepuka kadhia za kubeba mikosi na laana za watu wengine.View attachment 2533865View attachment 2533875
Mfano watu wamepeana utamu hadi wamemwaga maji kitandani, hilo shuka litatakaswa na nini. Hatari sana.Ata shuka lazma wafue.. Unalalaje sehemu unahisi chafu na umetoa pesa yako mkuu au mimi sielewiii
Kuepuka mikosi na laana za wengine jitahidi ubebe nyumba yako unaposafiri. Usilale kabisa gesti, lodge au hoteliniJitahidini mnapo safiri msafiri na vitu vyenu wenyewe kutoka kwenu ili kuepuka kadhia za kubeba mikosi na laana za watu wengine.
Bora shuka linafuliwa, godoro je?Kwenye maisha yangu moja wapo ya mambo ambayo waga sifanyi kabisa ni kutumia shuka na taulo za nyumba za wageni.
Kila ninaposafiri na kwenda kutumia Nyumba za wageni basi ni lazima nibebe vitu muhimu kutoka Nyumbani. Siwezi kabisa kutumia shuka za kulalia na taulo za Nyumba za wageni, kukwepa kuvitumia vitu hivyo unilazimu kubeba shuka mbili za kulalia, foronya ya mto wa kulalia, taulo zangu binafsi, mafuta, sabuni, manukato mengine n.k
Ni kwa nini sipendi kutumia shuka na taulo za Nyumba za wageni, sababu kuu ni kuona kinyaa juu ya vitu hivyo, na hili uchangiwa na haya;
Shuka na taulo kwenye Nyumba za wageni hutumiwa na watu wengi sana.
Kuepuka mikosi ya watu wengine wanayoiacha kwenye hivyo vitu.
Ufusika wa zinaa unaofanyika kwenye hizo Nyumba, unifanya niamini hivyo vitu vimenajisiwa.
Kila nikiwaza ni Watu wangapi wametumia hivyo vitu naonaga nikivitumia ni kama nasomba laana za watu.
Uchafu, kuna watu wanajisaidiaga kwenye hayo mashuka wakiwa kwenye ufusika wao. Hapa niliwahi kushuhudia hotel fulani Mwanza, mteja akitaka kupigana na muhudumu kisa yule mtu alipewa chumba, akakuta shuka zinanuka alufu mbaya sana.
Naamini hata vifuliwe kiasi gani, haviwezi kutakata kabisa.
Kutobadilishwa, kuna baadhi ya Nyumba za wageni wahudumu wenyewe uona kinyaa kutoa hizo shuka na kubadilisha, wengine wakiona hamna alama yeyote hawabadilishi kabisa.
Swali ninalojiulizaga, watu wanaotumia hivyo vitu wenyewe hawaonaga kinyaaa kabisa?
Jitahidini mnapo safiri msafiri na vitu vyenu wenyewe kutoka kwenu ili kuepuka kadhia za kubeba mikosi na laana za watu wengine.View attachment 2533865View attachment 2533875
Uko sahihi.Hata kulala na Mwanamke ambaye ameshatolewa bikra ni Uchafu Sana
Kwenye maisha yangu moja wapo ya mambo ambayo waga sifanyi kabisa ni kutumia shuka na taulo za nyumba za wageni.
Kila ninaposafiri na kwenda kutumia Nyumba za wageni basi ni lazima nibebe vitu muhimu kutoka Nyumbani. Siwezi kabisa kutumia shuka za kulalia na taulo za Nyumba za wageni, kukwepa kuvitumia vitu hivyo unilazimu kubeba shuka mbili za kulalia, foronya ya mto wa kulalia, taulo zangu binafsi, mafuta, sabuni, manukato mengine n.k
Ni kwa nini sipendi kutumia shuka na taulo za Nyumba za wageni, sababu kuu ni kuona kinyaa juu ya vitu hivyo, na hili uchangiwa na haya;
Shuka na taulo kwenye Nyumba za wageni hutumiwa na watu wengi sana.
Kuepuka mikosi ya watu wengine wanayoiacha kwenye hivyo vitu.
Ufusika wa zinaa unaofanyika kwenye hizo Nyumba, unifanya niamini hivyo vitu vimenajisiwa.
Kila nikiwaza ni Watu wangapi wametumia hivyo vitu naonaga nikivitumia ni kama nasomba laana za watu.
Uchafu, kuna watu wanajisaidiaga kwenye hayo mashuka wakiwa kwenye ufusika wao. Hapa niliwahi kushuhudia hotel fulani Mwanza, mteja akitaka kupigana na muhudumu kisa yule mtu alipewa chumba, akakuta shuka zinanuka alufu mbaya sana.
Naamini hata vifuliwe kiasi gani, haviwezi kutakata kabisa.
Kutobadilishwa, kuna baadhi ya Nyumba za wageni wahudumu wenyewe uona kinyaa kutoa hizo shuka na kubadilisha, wengine wakiona hamna alama yeyote hawabadilishi kabisa.
Swali ninalojiulizaga, watu wanaotumia hivyo vitu wenyewe hawaonaga kinyaaa kabisa?
Jitahidini mnapo safiri msafiri na vitu vyenu wenyewe kutoka kwenu ili kuepuka kadhia za kubeba mikosi na laana za watu wengine.View attachment 2533865View attachment 2533875
Huwa naiona kwa nje tu...Ni Gran Melia