Hiyo ni mojawapo ya principle yangu ya maisha bila kujalisha ukubwa wa kipato changu.Mleta uzi una matatizo mawili makubwa;
1. Una imani za kishirikina. Mambo ya laana ni ushirikina mtupu. Inawezekanaje kwa kulalia mashuka ubebe laana? Imani kama hizi ndo zinatufanya tuzidi kuwa maskini.
2. Wewe ni maskini na kipato chako ni duni. Bila kupepesa macho wewe huwa unalala sehemu zisizozidi Tsh 20k taslimu. Ungekuwa unalala angalau sehemu za kuanzia Tsh 50k usingeleta huu uzi unaonuka ushirikina na umaskini.
Unachotakiww kufanya ni kuachana na hizo imani za kishirikina huku ukifanya kazi kwa bidii uondokane na umaskini unaokukabili.
Kuna jamaa kacomment; Maisha ya mtaani yanichape hadi humu jf napo yanichape haiwezekani 🤣🤣🤣
Kweli aisee huko nje nilale kwenye kunguni na JF nako hivyo hivyo aah wapi. Huku tupo watu wenye hela zetu mwendo ni hotel kaliKuna jamaa kacomment; Maisha ya mtaani yanichape hadi humu jf napo yanichape haiwezekani
Mwendo wa five star hotel au four star 🤣🤣🤣Kweli aisee huko nje nilale kwenye kunguni na JF nako hivyo hivyo aah wapi. Huku tupo watu wenye hela zetu mwendo ni hotel kali
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni principle ya kimaskiniHiyo ni mojawapo ya principle yangu ya maisha bila kujalisha ukubwa wa kipato changu.
We nae unajishaua, kufa kuko pale pale...lazima ulambe udongo hata upae!