Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Wasichojua ni kuwa redio yao at any time inaweza kuwa inasikilizwa na watu wasiozidi laki moja nchi nzima...

Lakini at any time facebook inatembelewa na watz wasiopungua milioni 1...

Their impact is less than they thought... kwenye zama hizi za digital media
 
Gerald Hando kajishushia hadhi saaanaaa...nilikuwa namkubali ila kwasasa simukubali tena na kama anadhani atapata shavu la CCM basi imekula kwake

Mkuu huyo Hando ni kilaza ile mbaya na kwa waliyokaribu naye wanasema kuwa anapigania kuupata udc
 
Hando ni tatizo,PJ mtu mwenye msimamo huwa anasoma bila ubaguz nahisi kuna shinikizo ndio maana leo hajaja,na mood yao ya leo ya usomaj tofaut kabisa.fredwar kapiga kimyaaa

Kwani fredwaa yupo kwa hao wahuni?
 
Nyie watu mnashangaza sana, siku zote mnasema hamsikilizi clouds fm wala kuangalia tbc lakini kinachotokea huko mnakijua na mnakuja kulalamika hapa
 
wala musiwalaum huenda clouds ni chombo kisichokuwa na utartibu wa uendeshaji wenye mtiririko wenye kuzingatia taratibu zake. Mara nyingi nimewasikiliza sana hao watangazaji wenyewe tu wanaweza kubishana kuwa habari hiyo usisome na wakakubaliana na kweli haitasomwa kwa siku hiyo bila kuzingatia kuwa kuna wateja na wasikilizaji wao wengi huenda hiyo habari kwa siku iiyopita huenda hawakupata hata muda wa kusikiliza ama kuangalia taarifa za habari za jana yake
 
Kipindi pekee ninachokisikiliza(japo hakikosi element za Ccm) ni SPORT XTRA tu na njiapanda pengine but hukosi harufu ya CCM humo.
Mfano Sport xtra walitaka kumpromot Jery Muro & Julio ila WAKAPIGWA CHINI.
Kiujumla wana mrengo wa kiCcm na kamwe hutosikia habari za CHAMA CHA UPINZANI,hata!.
HOVYO SANA KITUO HICHI.
 
Wahuni tu hawa wajingawajinga c ndo walioandaa umoja feki wa wasanii kumpongeza msanii mwenzao
 
Kusikiliza hiyo redio na tv ni matumizi mabaya ya ubongo na muda na ni uhalifu dhidi ya MB
 
acheni habari za uzushi, mbona wame-report habar za lowasa kwa kina kabisa. Hivi sheria ya makosa ya mitandao haijaanza kutumika ili ikushughulikie?

Unadhani hiyo sheria inashughulika tu na inakinzana na uhuru wa maoni?
Muwe mnaenda shule wajinga kama wewe ndio mnatufanya Tanzania tuzidi kuwa maskini
 
munasikiliza viradio kanjanja, mwanzo mpaka mwisho lugha za kihuni tu, sina huo muda mimi, tumeshasikiliza RFA na makopi mengine ninayo mkononi napeleka kwenye mgahawa wang kila anayetaka ajisomee, lowassa ndio mpango mzima
 
Watu wenye akiiiiillliii ssawasawa walishahama.
ilikuwa radio enzi za kipanya ,jide fina.Walikuwa good people,reasonable and critical.Walikuwa sio kina uncle tom.
To prove my words leo wote hao ni wajasiriamali.

Its a shame.Ila yote yana mwisho.
 
Hii redio ya wafu wanatamani kikwete angeendelea kutawala hii nchi, wapuuzi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom