Lakini hii mbona inajulikana mkuu, shida ni kwamba wanawaza je Oktoba maCCM wikibwagwa itakuwaje?!Hawa watu wamegoma kusoma magazeti ya leo eti kisa yameripoti habari za Lowassa.
Eti wanasema kilichotokea jana kila mtu alishughudia hivyo hakukuwa na haja magazeti kuripoti leo.
Kweli clouds?
Walichoamua eti bora tusome uhuru(jarida la CCM). Ambalo limeripoti ''Magufuli ushindi wa Tsunami''
Kwa design hii waandishi wa clouds na media zenu wekeni wazi kuwa ninyi ni vyombo ya propaganda za CCM.
Kila mtu anajua kuwa wenye magari walijaziwa mafuta ya elfu 25 na bodaboda ya elfu 10
Mnajua humu jamaa na rafiki pengine ndugu za wafanyakazi na wamiliki wanaingia na kuona mawazo yetu.Clouds ina mambo ya kipuuzi,kikauzu,kitoto.Clouds sina hakika kama kuna mbwajajaji mwenye elimu ya chuo cha juu.watangazaji wake hawatumii taaluma,ni uzoefu wa soga za mtaani.low level education,thinking capacity,determination and poor performance.
Huu ndiyo Ukweli harisi Ruge na January walimzunguka Sugu kijanja Kwa kumwingiza JK kwenye Dili Leo ili lionekane ni suala la Kitaifa , hata hii ya Juzi ya Wasanii kumuaga JK pia ulikuwa mchongo wa January na Ruge na Pesa ya kugharamia shughuri itakuwa imetoka huko huko Ofisi Kuu.Mawingu fm ni wafanya biashara msiwalaumu kwa deal walilopokea kutoka kwa system cuz kuna ka-studio ka taifa kalipitia mlango wa nyuma kisha kakawa mali yao.Nadhani hizo ni fadhila katika masuala ya kibiashara illegally na ndio maana kwenye deal la malaria walimfanyisha jingle father house ili hata aliyedhurumiwa aogope kutia mikono..
Kinachomchanganya Gerald ni ndoto kuwa naye siku moja atapata ukuu wa wilaya. Jamaa ni mnafiki sana na huwa anapenda sana kucrash matukio yanahusu UKAWA. Hana tofauti na Ephraim Kibonde.
leo wamepata aibu polisi na wananchi wamekanusha kuwa hakuna duka lililoporwa wala watu kuibiwa jana kwenye maandamo ya Lowasa kuchukua fomu
. Maana wakina Hando asbh walishadadia balaa kuwa yale maandamano yalikuwa ya wahuni na watu waliibiwa.
acha kusikiliza hii redio kwanza wanaume wanacheka cheka hovyo na kuongea kipambe pambe .. achana nao
Ni wapuuzi tu..Lowassa ukiingia ikulu naomba uwanyooshe hawa clouds
Hivi Hiyo Clouds bado ipo?. Mimi nilishaacha kuisikiliza mwaka wa tatu sasa. Tangu walipojipa jukumu la kumfanyia birthday jk niliwashangaa sana.
Mimi huwa nasikiliza Radio One tu, nikiwa kwenye gari yangu au nyumbani. Na mke wangu sasa hivi naye ameniunga mkono kutoisikiliza clouds mwaka wa pili sasa.Radio One ndio mpango mzima, wana vipindi vilivyopangwa na vya uhakika.