Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Hando kahongwa milion 40 ili kila siku awe anaponda ukawa na kashaanza rasmi kazi yake

Na aliwaahidi kuwa hatowaangusha ccm..kwa kila asubuhi kuongea habari za kufitinisha ukawa na wananchi..take care of this guy ana milioni 40 mfukoni
 
88.5 uharo fm

Sinaga muda japo kiduchu wa kuwasikiliza hao wapumbavu.
 
Kibonde kumfata swahiba wake lowasa mda wowote,kua mc katika kampeni....huwez zuia mafuriko
 
Angalieni sana na mjirekebishe jinsi ya kuandaa na kuongoza habari zenu, acheni kujiweka mbele kwa kubeza na kukashfu watu.

Hii ni siasa ambayo ni upepo tu, unaweza kuvuma kuanzia upande wowote ule
Changeni vizuri karata zenu
 
Leo naona wemejirekebisha .Siasa za Mwaka huu hazitabiriki hata kidogo
 
hawa jamaa ni mabigwa wa kujipendekeza kwa serikali na chama bt wakae wakijua katika ku bet kuna kula au kuliwa siasa za mwaka huu ni tofauti na miaka mingine leo wafanyabiashara wakubwa wapo njia panda hawajui wa bet wapi kwani yeyote anaweza kuwa mshindi na ukajikuta unalilia chooni
 
Clouds wapo vizuri wanajribu kub alans habari kila siku nawasikiliza asubuhi lakini jana waliikandia ccm na gazeti lao la uhuru kiakili kwa kile walichokiandika fujo na wizi kutokea juzi kikweli wanaiona hali halisi na hata hawababaishwi wako wazi penye Giza wanasema giza na nuru wanasema nuru thats it.
 
Mkuu hivi bado huwa unayasikiliza hayo mabwabwa yanayopumuliwa visogoni???
 
Angalieni sana na mjirekebishe jinsi ya kuandaa na kuongoza habari zenu, acheni kujiweka mbele kwa kubeza na kukashfu watu.

Hii ni siasa ambayo ni upepo tu, unaweza kuvuma kuanzia upande wowote ule
Changeni vizuri karata zenu

Clouds ndio redio bora , ndio maana huachi kuwasikiliza kama vp unaweza piga chini
 
Hawa watu wamegoma kusoma magazeti ya leo eti kisa yameripoti habari za Lowassa.

Eti wanasema kilichotokea jana kila mtu alishuhudia hivyo hakukuwa na haja magazeti kuripoti leo.

Kweli Clouds?

Walichoamua eti bora tusome uhuru(jarida la CCM). Ambalo limeripoti ''Magufuli ushindi wa Tsunami''
Kwa design hii waandishi wa Clouds na media zenu wekeni wazi kuwa ninyi ni vyombo ya propaganda za CCM.
Pole sana mkuu kwa kuchelewa sana kung'amua hili suala. Mbona lilishajulikana wazi toka mwanzo?
Au haukuwepo Tanzania mda mrefu? Naweza kuwa nakutuhumu kumbe mwenzangu ni Diaspora.
Kuna siku MD wao aliongea baada ya kuulizwa akajitetea kuwa wao hawana upendeleo wowote kwa chama chochote cha siasa ila kiuhalisia lilikuwa jibu la kisiasa kuwaridhisha waliouliza. Kiuhalisia na practically speaking ukweli ndo huo unaojionesha. Waambie kina Tumaini Makene kama wakipeleka matangazo yao ya Chadema watakubaliwa airtime hapo Clouds.
 
Last edited by a moderator:
Kibonde huwa ni mwanachama wa NCCR mageuzi na Gerard ni Chadema huenda wanafanya kazi Kwa kumfurahisha Ruge lakini mionyoni mwao woote ni Ukawa.

Ana faida gani mwanachama wa aina hiyo anayekubali kutumika kutukana chama chake ?
Hana tofauti na mke anayesaliti ndoa yake ili anunuliwe lunch ya siku moja.
Hao jamaa ni kutojitambua tuu
 
Clouds ndio redio bora , ndio maana huachi kuwasikiliza kama vp unaweza piga chini

ni bora kwa udaku na umbea,watangazaji wake hasa wanaume wanarebua na kutangaza kama mademu.wachambuz wa maisha binafsi ya mtu zaidi ya anavyojifahamu yeye.
 
Back
Top Bottom