Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Kama unakiu ya habari na mahojiano yasiyopepesa macho uwe unasikiliza Wapo redio majira hayo. Kisha waweza rudi kwenye hiyo Clouds yako kwa habari za burudani nk.
Ni ushauri wangu tu huo
 
Nasononeka kwani huwa mnajidai hamuisikilizi wala kuangalia clouds ila chochote msichokipenda mnakuja kulia lia kwan mna shida gani?.

Tulia huko act wasariti, hivi tofauti yenu na ccm ni ipi?
 
Hawa watu wamegoma kusoma magazeti ya leo eti kisa yameripoti habari za Lowassa.

Eti wanasema kilichotokea jana kila mtu alishughudia hivyo hakukuwa na haja magazeti kuripoti leo.

Kweli clouds?

Walichoamua eti bora tusome uhuru(jarida la CCM). Ambalo limeripoti ''Magufuli ushindi wa Tsunami''
Kwa design hii waandishi wa clouds na media zenu wekeni wazi kuwa ninyi ni vyombo ya propaganda za CCM.

Ndiyo unajua leo kuwa Clouds si lolote, si chochote. Kutwa nzima wanaongea visivyoeleweka. Achana nao. Hao ni mitume wa ccm!
 
Hando hajabobea kitaaluma,nlisikia upuuzi wake asbh akisoma uhuru.
.clouds ni ccm.persee
 
Mnajua humu jamaa na rafiki pengine ndugu za wafanyakazi na wamiliki wanaingia na kuona mawazo yetu.Clouds ina mambo ya kipuuzi,kikauzu,kitoto.Clouds sina hakika kama kuna mbwajajaji mwenye elimu ya chuo cha juu.watangazaji wake hawatumii taaluma,ni uzoefu wa soga za mtaani.low level education,thinking capacity,determination and poor performance.
 
E FM 93.7 ukiwa Dar kama unahitaji magazeti Radio tumaini na tv imani .
 
Gerald anatumika kuihujumu ukawa
Hando ni kibaraka wa Ruge hata akiambiwa alambe 'masa' hatasita,hivyo msimamo wa Ruge ndio wa Hando (Ruge kanunuliwa studio na JK kwa kodi zetu
 
PJ msukuma yuko poa hawezi kuwa punga..hando mtu wa tanga punga chele lile
 
Hiyo jeuri yao mwisho ni November 1, wacha waendelee kujifariji kuwa meli yao inaelea huku ikiwa imetoboka. By the way na wewe unapata wapi muda wa kuisikiliza Clouds!! mimi si isikilizi kabisa na kama ningekuwa na uwezo ningeifuta na Tv yao kwenye king'amuzi changu.
 
Kila mtu anajua kuwa wenye magari walijaziwa mafuta ya elfu 25 na bodaboda ya elfu 10

Chukua elfu 35x500(kwa mkoa mmoja) hlf zidisha kwa mikoa yote tz,jibu utakalopata mmepelekee mhasibu wa lowassa mwambie bajet ya kampeni hii hapa,huku jf unapoteza muda.
 
Kinachomchanganya Gerald ni ndoto kuwa naye siku moja atapata ukuu wa wilaya. Jamaa ni mnafiki sana na huwa anapenda sana kucrash matukio yanahusu UKAWA. Hana tofauti na Ephraim Kibonde.
 
Back
Top Bottom