Riwa
Platinum Member
- Oct 11, 2007
- 2,607
- 3,068
I care. If God had wanted do you to be Brazilian he could have sent you to the Amazon forest.
Who told you women wear 'Brazilian hair' so they can be Brazilians?
I care. If God had wanted do you to be Brazilian he could have sent you to the Amazon forest.
we unakereka nini? Mzuie wa kwako asivae...sie wenzio tunanunua tu, sijui human hair..sijui Brazilian nini...as long as 'beibe' anapendeza, anakuwa comfortable na confident...who cares!
Kama hupendi wewe wenzio wanapenda na wananunulia wawapendao,ww nadhani utakua bahili sana ndio mana hupendi.
teh teh teh halafu ndo wanaume wa siku hizi wanaongoza kwa kupaka carolite na maji yakeswali limeulizwa wanawake lakini nashangaa midume ndo inachangia kwa fujo
nyinyi wanaume mna matatizo sana mara muwambie wanawake wako rafu, mara kwa nini wanavaa bandia hamueleweki, na nyinyi ndio sababu wanawake wanahangaika kuwafurahisha nyinyi.
cha msingi ni kumwambia wako afanye yale unayoyapenda na usimshangae wa mwenzako kwa nini kafanya nini.
mkuu usiangalie hayo ma-fake hair na nini cjui...We angalia tu injini kama iko safi basi.mengine yote yaliyobaki ni nyongeza tu!Unajua hawa dada ze2 me cwaelwi kabisa maana "Fake hair, Fake eye blows, fake skin, fake nails, fake buttocks and xo xo" but they still need real men
ulimbukeni na umagharibi unawasumbua
Who told you women wear 'Brazilian hair' so they can be Brazilians?
Kama hauna cha kuandika kaa kimya. Swali gani hilo unalouliza? Au ndo umezoea ubishi wa kwenye vigenge vya kahawa? Mswahili anapovaa "Brazilian hair" simply inamaana anataka aonekana kama mBrazil. Halafu eti ndo mnataka mabadiliko, kwa akili hizo!!?? It's people like you who make Tanzania a miserable country to live.
Really!? Are you serious!? I make Tanzania 'miserable' country to live because of my opinion about 'Brazilian hair'! Na Kikwete na CCM yake watakuwa wameifanya Tanzania sehemu ya aina gani basi kama comment to on 'some' hair make you miserable...Tanzania miserable!? Maaan you made me laugh...