nipeukweli
JF-Expert Member
- Jul 16, 2012
- 656
- 348
ndio maana nikasema MAKATUNI....uuuwiiii
Wanatisha, wangejijuwa:
Wanatisha, wangejijuwa:
lakin cha ajabu ivyo ivyo v2 fake ndo vinavyokufanya umtaman mdada
the last tym I checked a big part of utongozaji men do is for fun, nothing serious. na anapokuwa katuni ofcourse why not have the fun afterall ndio maana ya katuni...unajua kuna kuwa mrembo, msafi na bado ukawa natural ukapendeza tu, sio mpaka utake kufanana na akina nanihii wa Holly nanihii jamani. african women r beautiful just as they r.Yani mwanaume huku jf anaponda fake stuff lakini akikutana na mwanamke ameweka nywele,kope,kucha fake ndo wa kwanza kumtongoza...
ni kweli....it takes quite a lot to notice real quality. so mwanamke aliyeamua kubaki natural anapata advantage ya kupata watu wanaojua kunotice quality na sio watu wanaowehuka kwa fake appearanceukweli ni kwamba wanaume wachache sana wanarespond kwa wanawake natural.
ila yanabore, maana wenye natural beauty wanaonekana wameyaweka hayo madude, kumbe wapi.