Tangia nimwone Msanii Ommy Dimpoz alivyopewa " drills " za uhakika pande za katikati ya Mwenge na Kawe sina hamu hata ya kuchangia threads za hawa jamaa na sana sana tu niwatakieni kila la kheri nyote mnaochangia.
Acha kupotosha uma!!kuna vitengo vingi mle!!kuna secretar!!kuna makarani!! Kuna madoctory!na shughuli nyinginyingi!usikaririshwe ukaamini kama unavyoambiwa na hao raia wenzako!!Naskia wanajesh wa kike huwa Ni wapishi..!!
nakupangiwa kazi nyingine kama vile.............nkNaskia wanajesh wa kike huwa Ni wapishi..!!
ufafanuzi kidogo wa moraliWakati niko sekondari miaka hiyo niliwahi kufundishwa na mwalimu wa geography aliyewahi kufikia cheo cha kapteni.Nakumbuka alipenda kutusimulia maisha yake akiwa afisa wa jwtz,,,,na aliwahi kutuambia kuwa kazi ya wanajeshi wanawake ni kuwapa morali wanaume ambao ndo wapiganaji kwa hiyo huwa hawawi katika platuni/vikundi vya kupigana.
Kweli mkuu wanaongeza moralieti morali umenikumbusha zamani enzi za primari hatukubali kwenda kucheza mpira na timu ya jirani mpaka magels wawepo, kwa kuongeza morali, ukisikia tu weweeeeee usituumizie basi jamaa mori linapanda ile mbaya.
Hayo nayafaham miaka mingi Tu,..anyway kwahiyo wew sio raia? Unaish angan?Acha kupotosha uma!!kuna vitengo vingi mle!!kuna secretar!!kuna makarani!! Kuna madoctory!na shughuli nyinginyingi!usikaririshwe ukaamini kama unavyoambiwa na hao raia wenzako!!
duh kama ni hivo,slavery mode of productionNa kwa uzoefu wa jkt ni kuwa mwanamke mkiwa rank/daraja moja yeye anatakiwa akupigie saluti ambayo kama askari akiwa mkubwa kwako unafunga/mguu sawa ukiwa umebana mikono kama akikujibu unafungua/mguu upande na kuachia mikono.