Sadism is inevitable when the situation is alarmingMkuu umenikumbusha yule mzee wa "sadism is inevitable" hebu tumwombe popote alipo aje atuondolee huu utata
Sadism is inevitable when the situation is alarmingMkuu umenikumbusha yule mzee wa "sadism is inevitable" hebu tumwombe popote alipo aje atuondolee huu utata
Mmmh kazuri ,dah poda na lipstick jamani uwiii captain wewe utaua jamani,mi nilijua Jeshi hapaki poda.
Unasemaje ww eti soft hebu mtafute mmoja afu mzingue uoneKama huyo wa mbele soft ivyoo!!!!! Hakuna mjeda apo....
Salaam wana JF
Muda Fulani hivi kwenye ITV walionesha wanajeshi wa kike wa JWTZ wakiwa Kongo ikasemakana kwamba wameenda kulinda amani.Dada yangu anapenda sana kuwaona wanajeshi hasahasa wa JWTZ nikamwita aje kuwaona akaja mbiombio nikamwambia hawa wameenda kulinda amani kongo. Alinijibu kwa mshangao mkubwa sana akasema wanajeshi wa kike wa JWTZ hawaendagi vitani(ingawa ile haikuwa vita ila mapigano yanahusika).
Hivi ni kweli wanajeshi wa kike hawaendagi vitani na kama ni ndiyo je kazi yao kuu ni nini wakiwa jeshini?
Karibuni mnijuze zaidi
Anaweza kupaka Mkuu lakini kwa mkao huo akiwa na combat(kwa mjeshi) inatia ukakasi. sidhan kama inaruhusiwa.Mmmh kazuri ,dah poda na lipstick jamani uwiii captain wewe utaua jamani,mi nilijua Jeshi hapaki poda.
ha ha ha haaaa,anaogopa tamko la jeshi...hawezi kuzitaja hizo shughuli nyingine mkuu!!shughuli nyingine ipi mkuu!!!!!!!!!!!!!!!
Acha unaa shughuri ipi nyingine?Alikudanganya, wanajeshi wote wanaenda vitani bila kujali jinsia, kinaachotofautisha ni majukumu tu.. Kuna wengine wataenda kwny uwanja wa vita na wengine wanapewa shughuli nyingine..
Kazi yao kubwa ni kuwasaidia ccm kwenye uchaguzi sehemu ambayo polisi wameshindwa!Kwa hiyo kama unadhani hawaendi vitani unafikiri kazi yao nini?, hebu tujifunze kuwaheshimu wakina mama na tuachane na fikra potofu
mcheki mjeda wa nne kutoka kushoto kati ya hao waliosimama, unavyodondosha denda kwa mtoto mrembo
Salaam wana JF
Muda Fulani hivi kwenye ITV walionesha wanajeshi wa kike wa JWTZ wakiwa Kongo ikasemakana kwamba wameenda kulinda amani.Dada yangu anapenda sana kuwaona wanajeshi hasahasa wa JWTZ nikamwita aje kuwaona akaja mbiombio nikamwambia hawa wameenda kulinda amani kongo. Alinijibu kwa mshangao mkubwa sana akasema wanajeshi wa kike wa JWTZ hawaendagi vitani(ingawa ile haikuwa vita ila mapigano yanahusika).
Hivi ni kweli wanajeshi wa kike hawaendagi vitani na kama ni ndiyo je kazi yao kuu ni nini wakiwa jeshini?
Karibuni mnijuze zaidi