Hivi Wamasai huwa hawaugui malaria?!

Hivi Wamasai huwa hawaugui malaria?!

Steve Dii

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2007
Posts
6,402
Reaction score
1,298
Naomba kujua iwapo Wamasai hawaugui malaria. Nauliza hili kutokana na kuwaona walinzi wengi wa Kimasai wakiwa katika mavazi yao ya kiutamaduni ambayo huwaacha wakiwa na sehemu kubwa mwilini iliyokuwa exposed kwa mashambulizi ya mbu. Je, huwa wanajipaka dawa ya kufukuza mbu au hawashikwi na malaria?! Ahsanteni.
 
Naomba kujua iwapo Wamasai hawaugui malaria. Nauliza hili kutokana na kuwaona walinzi wengi wa Kimasai wakiwa katika mavazi yao ya kiutamaduni ambayo huwaacha wakiwa na sehemu kubwa mwilini iliyokuwa exposed kwa mashambulizi ya mbu. Je, huwa wanajipaka dawa ya kufukuza mbu au hawashikwi na malaria?! Ahsanteni.

wengejuaje dawa?
 
wamasai wanakunywa madawa mengi mara kwa mara mojawapo ikiwa ni "lodwaa" ambayo ukinywa hii uwezekano wa kupata malaria ni mdogo sana,huact kama kinga. Ila siyo kwamba hawapo wanaougua!
 
wamasai wanakunywa madawa mengi mara kwa mara mojawapo ikiwa ni "lodwaa" ambayo ukinywa hii uwezekano wa kupata malaria ni mdogo sana,huact kama kinga. Ila siyo kwamba hawapo wanaougua!

Wanaugua sana malaria visonono ndiyo usiseme ni balaa.
 
dah kumbe wasingekuja wazungu tungeweza kuishi vizuri na kuboresha maisha yetu tofauti na sasa wanatengeneza dawa ambazo wao hawatumii...safi masai
 
Acha ujinga we wacugue wame kua malaika?
 
Magonjwa yanayowasumbua wamasai.

1/ Kisonono

2/ kuharisha

3/ Ukurutu

4/ Minyoo

5/ Utapia mlo kwa watoto

6/ TB

Tembelea hospital nyingi Arusha na Manyara utakumbana na idadi kubwa ya wamasai wakisumbuliwa na magonjwa hayo.
 
Magonjwa yanayowasumbua wamasai.

1/ Kisonono

2/ kuharisha

3/ Ukurutu

4/ Minyoo

5/ Utapia mlo kwa watoto

6/ TB

Tembelea hospital nyingi Arusha na Manyara utakumbana na idadi kubwa ya wamasai wakisumbuliwa na magonjwa hayo.

very true Ngongo,hasa kisonono na TB. TB inawasumbua kwa ajili ya maziwa na nyama zisizoiva!
 
Magonjwa yanayowasumbua wamasai.

1/ Kisonono

2/ kuharisha

3/ Ukurutu

4/ Minyoo

5/ Utapia mlo kwa watoto

6/ TB

Tembelea hospital nyingi Arusha na Manyara utakumbana na idadi kubwa ya wamasai wakisumbuliwa na magonjwa hayo.

Malaria haimo ktk orodha yako,kwa hiyo kuna kitu cha kutafuta zaidi ili kujua kwa nini malaria sio tatizo kubwa kwao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom